Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1263 results for Herieth Makwetta :

  1. VIDEO: Simulizi ya mama alivyoshuhudia wanae pacha wakitenganishwa-1

    Anaeleza mume wake alimfuata mama yake katika Kijiji cha Mzanza kisha wakampeleka Hospitali ya Misheni ya Nkinga, iliyopo umbali wa kilomita 19.7 kutoka Zahanati ya Sungwizi.

  2. KKKT yahubiri nuru ya Taifa mkesha wa Krismasi

    Dar es Salaam. Wakristo wametakiwa kutafakari na kutenda yaliyo mema ili kuyaweka maisha yao na Taifa lao katika nuru, wakati wa kusherehekea Sikukuu ya Krismas. Imeelezwa kuwa, nuru huongoza...

  3. Profesa Janabi atoa angalizo ulaji wakati wa Krismasi

    Kuelekea sikukuu za Krismasi na mwaka mpya, Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi ameshauri jamii kuzingatia mtindo bora wa maisha, akionya ulaji wa nyama na...

  4. PRIME Huyu ndiyo Profesa Janabi usiyemjua

    Profesa Mohamed Yakub Janabi ni Ofisa Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) tangu mwaka 2022 hadi sasa. Ni mwanataaluma mbobezi katika sekta ya sayansi ya tiba akiwa na shahada tatu.

  5. Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI

    Wabunge waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Kanda ya Benjamini Mkapa baada ya kupata ajali hiyo wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.

  6. Mpango wa afya kusaidia wanawake wachuuzi kuzinduliwa

    Dar es Salaam. Shirika la Tanzania Women Tapo, kwa kushirikiana na Hospitali ya Aga Khan Tanzania, linatarajia kuzindua kampeni ya afya kwa wanawake wachuuzi na wauzaji sokoni, mpango unaolenga...

  7. Mwaka 2024 ulivyopaisha utoaji huduma za afya Tanzania

    Programu za mafunzo ya ndani na nje ya nchi zimeimarishwa ili kukuza ujuzi wa watumishi wa afya, hata hivyo changamoto bado zipo katika maeneo ya vijijini ambako kuna uhaba wa watumishi wenye ujuzi.

  8. PRIME Profesa Janabi: Chembe za plastiki zinaweza kuathiri ubora wa mbegu za kiume

    Chembechembe za plastiki na kemikali inayotumika kutengeneza bidhaa hiyo, zinatajwa kuathiri afya ya uzazi, ikiwemo ubora na idadi ya mbegu za kiume.

  9. Samia asema atatafutwa mrithi wa Dk Ndugulile WHO

    Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile itaelekezwa kwa...

  10. LIVE: Viongozi 'wamiminika' kumuaga Dk Ndugulile Dar

    Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wamefika katika viwanja vya Karimjee, jijini Dar es Salaam kuhudhuria misa maalumu ya kumuaga aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa...

Previous

Page 16 of 127

Next