Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

427 results for Ephrahim Bahemu :

  1. PRIME Kwa nini ni hatari kwa nchi kutegemea sekta ya madini

    Ingawa madini yanaweza kuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa serikali na wawekezaji, utegemezi wake kupita kiasi huleta hatari ya kuyumbisha uchumi wa taifa.

  2. PRIME Mufti atoa neno upatu unavyoliza watu

    Amesema Uislamu umezungumza masuala ya utunzaji wa fedha, kuishi kiuchumi na namna ya kutumia.

  3. PRIME Tanzania ilivyojipanga 2G, 3G zikielekea ukomo

    Kufutwa kwa teknolojia ya mitandao ya 2G na 3G ni miongoni mwa mwambo yanayozungumzwa sasa na wataalamu wa teknolojia za mawasiliano hususani katika mataifa yaliyoendelea.

  4. Wadau waeleza chanzo, suluhu ya mikopo kashausha damu

    Wakati wimbi la mikopo kausha damu likiendelea kutawala nchini, wadau wa masuala ya uchumi wameshauri jitihada za makusudi zinapaswa kuchukuliwa ikiwemo elimu ya mikopo ili kuwanusuru wananchi...

  5. Mramba: Kununua umeme Ethiopia kuna faida kuliko hasara

    Katikati ya mjadala huo, leo Jumatatu ya Machi 10, 2025 Mramba amewaeleza waandishi wa habari kuwa uamuzi wa Tanzania kuchukua umeme Ethiopia ni kitu chenye faida na si hasara kama watu...

  6. Ligi yetu inadhalilishwa, mashabiki hawaheshimiwi

    Ni aibu kwa soka letu kuona tukio hili likijirudia bila hatua madhubuti kuchukuliwa na tusipokuwa makini utakuwa ni utamaduni.

  7. Ripoti: Vijana wa Kitanzania wanaongoza kwa utulivu wa akili, lakini ...

    Hayo yamebainishwa na ripoti ya Mental State of the World 2024, iliyotolewa na taasisi mashuhuri kwa utafiti wa afya ya akili, Sapien Labs

  8. Mabenki Tanzania kutoa huduma rafiki kwa wanawake

    Miongoni mwa mambo yaliyosisitizwa ni sekta ya benki kushughulikia pengo la utoaji wa huduma maalumu za kifedha kwa wanawake wajasiriamali.

  9. Waziri Mkuu asisitiza kutumia wazawa kubuni suluhu za kidijitali

    Amesema ustadi wao umeisaidia benki na Taifa kuokoa gharama kubwa zilizotumika kwa wataalamu wa nje na malipo makubwa ya vibali na leseni za kimataifa.

  10. Visa yaipa tano BoT malipo kwa kadi

    Utafiti huo unaoitwa ‘Thamani ya upokeaji: Kuelewa mazingira ya malipo ya kidijitali Tanzania,’ unaeleza kuwa asilimia 84 ya wajasiriamali hao waliohojiwa walieleza kuwa ndani ya miaka miwili...

Previous

Page 3 of 43

Next