Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1066 results for Peter Elias :

  1. Uadilifu wa viongozi wa umma waongezeka

    Kamishna huyo wa Maadili amesema malalamiko mengi wanayoyapokea ni viongozi kutumia vibaya madaraka kwa kuwanyanyasa na kuwanyima haki zao, na kwamba yamepungua kutokana na elimu ya maadili...

  2. Tanzania, Namibia zalenga kukuza biashara, ajira

    Rais Nandi-Ndaitwah amefanya ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini Tanzania kuanzia jana Mei 20 hadi leo Jumatano 21, 2025 kwa mwaliko wa Rais Samia.

  3. PRIME Hivi ndivyo diaspora wameguswa kwenye Sera ya Mambo ya Nje

    Sera hiyo ni maboresho ya Sera ya Mambo ya Nje ya mwaka 2001 iliyozinduliwa Ngorongoro, Aprili 30, 2001. Maboresho hayo yamefanyika ikiwa imepita miaka 24, kipindi ambacho ulimwengu umeshuhudia...

  4. PRIME Serikali yafungua milango ya fursa kwa Diaspora

    Rais Samia ameeleza hayo wakati diaspora wa Tanzania wakitajwa kutuma fedha kidogo nchini ukilinganisha na mataifa mengine kama Kenya na Nigeria ambako wanatuma fedha nyingi.

  5. TIC yawafunulia fursa za uwekezaji wafanyabiashara Kariakoo

    Amewataka wafanyabiashara hasa wa Kariakoo kujenga tabia ya kuuliza ili wafafanuliwe na kufunuliwa fursa nyingi ambazo hawazijui. Amewataka kutembelea kituo hicho au kupiga simu ili kujuzwa fursa...

  6. Rais Stubb apigia chapuo ubunifu

    Rais wa Finland, Alexander Stubb, ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kurejea upya dhana ya ubunifu, akisisitiza kuwa ubunifu haupaswi kuangaliwa kama suala la kiteknolojia pekee bali kama...

  7. Wananchi, wasomi wakoleza mjadala uongezwaji majimbo

    Wananchi na wasomi wamekoleza mjadala wenye mitazo tofauti kuhusu nyongeza ya majimbo mapya manane yaliyotangazwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), baadhi wakisema hatua hiyo inakwenda...

  8. Walichokubaliana Rais Samia, Stubb wa Finland

    Katika sekta ya misitu, amesema Finland imekuwa ikiisaidia Tanzania katika utunzaji wa misitu na katika ziara hii, Rais Stubb kesho atazindua mpango unaolenga kuzijengea uwezo taasisi za mafunzo...

  9. Watayarishaji wa filamu wahamasishwa kugeukia utalii, uhifadhi

    Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Gervas Kasiga amewataka watayarishaji wa filamu nchini kuandaa filamu zinazotangaza vivutio vya utalii na kuhimiza utunzaji wa...

  10. Chadema wampa IGP Wambura saa 72 kuzungumzia utekaji

    Wakati Chadema wakieleza hayo, huko Mbeya, wafuasi wa Chadema wameweka kambi katika ofisi za Chadema Kanda ya Nyasa huku wakimtafuta Mdude katika maeneo mbalimbali tangu Mei 3, 2025.

Previous

Page 3 of 107

Next