Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Mwenyekiti mstaafu CCM Moshi Mjini, Alhaj  Shamba Afariki dunia

    Alhaj Shamba aliwahi kuhudumu kama mwenyekiti wa CCM Moshi Mjini kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka 2017 hadi 2022, ambapo alishindwa kutetea nafasi hiyo na kuchukuliwa na mwenyekiti wa...

  2. Mgombea udiwani Kibosho aahidi kuboresha lishe kwa wanafunzi shule za kata

    Mgombea udiwani wa Kibosho Magharibi, Wilaya ya Moshi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Deo Mushi, ameahidi kuwa endapo atachaguliwa kuwa diwani, asilimia 60 ya mapato yanayokusanywa kupitia...

  3. Biashara ya maziwa inavyowainua kiuchumi wanawake wa Mwika

    Wakati changamoto ya ajira ikiendelea kuwa kikwazo nchini, baadhi ya wanawake wa Kata ya Mwika Kaskazini, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wameeleza namna shughuli ya uuzaji wa maziwa ya...

  4. EU yaweka mkakati kuinua kilimo Tanzania

    Umoja wa Ulaya (EU) umeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania katika sekta ya kilimo, ukiweka msisitizo kwenye maendeleo endelevu ya kidijitali, mabadiliko ya tabianchi...

  5. Wanawake wanavyofurahia mabadiliko ya nishati safi ya kupikia

    Soma zaidi hapa...

  6. Wakulima Kilimanjaro wapigwa marufuku kung'oa miti ya kahawa bila kibali

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema ni marufuku kwa mkulima yeyote wa zao la kahawa kung’oa miti ya kahawa bila kuwa na kibali rasmi kutoka kwa mkuu wa wilaya husika, akisema hatua...

  7. Mrufani alivyoepa kitanzi kesi ya mauaji ya bodaboda

    Mahakama ya Rufaa imemuachia huru, Charles Kidaha, aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya dereva wa bodaboda, Frank Joseph.

  8. Shayo aahidi kupambania stendi iliyotelekezwa miaka minne Moshi

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo amesema endapo atashinda nafasi hiyo ya ubunge, atahakikisha mradi wa stendi ya kimataifa ya mabasi...

  9. Hekaheka majimboni wagombea ubunge wakipambana kuomba kura

    Kwa nyakati tofauti katika kampeni zilizoanza Agosti 28 mwaka huu, baadhi ya wagombea wameanza kujinadi kwa wapigakura wakiainisha mipango yao endapo watapewa ridhaa ya kuwaongoza kwa miaka...

  10. Makada 18 wa Chadema washikiliwa na polisi

    Moshi. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikiliwa watuhumiwa 18, akiwamo Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Felius Kinimi...

Previous

Page 22 of 144

Next