Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

786 results for Baraka Loshilaa :

  1. Mchinjita wa ACT Wazalendo adaiwa kukamatwa na Polisi

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi baada ya kutembelea mradi wa mwendokasi kuangalia kero wanazopitia wananchi.

  2. Wasira: Hali ya kisiasa Tanzania ni tulivu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema hali ya kisiasa Tanzania ni tulivu, huku akipinga madai ya kunyamazishwa kwa upinzani.

    New Content Item (1)
  3. Mikoa hii ijipange kwa baridi Juni hadi Agosti

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kuanzia Juni hadi Agosti, 2025 kutakuwa na baridi kali na ya wastani katika mikoa sita nchini.

  4. Madeleka naye atimkia ACT - Wazalendo, aeleza mwelekeo

    Madeleka tayari amekabidhiwa kadi ya uanachama wa chama hicho pamoja na katiba ikiwa ni ishara ya kuwa mwanachama wa chama hicho.

  5. Alichokifanya Lissu nje ya mahakama ya Kisutu akirejeshwa rumande

    Kesi zote mbili zilizosikilizwa leo Jumatatu Mei 19, 2025 ya uhaini na ya uchochezi, ambazo zilisikilizwa leo, zimeahirishwa hadi Juni 2, 2024.

  6. Polisi walivyojitofautisha, Lissu akiletwa Kisutu

    Polisi hao kwa leo wamekuwa wakizungumza kwa utulivu na wafuasi wenye sare za Chadema ambao wako umbali wa kama mita 100 kutoka geti la Mahakama hiyo.

  7. Lissu afikishwa mahakamani, akionyesha ishara ya vidole viwili juu

    Baada ya askari ambao walivalia kofia za kuzuia uso usionekane wakiwa kwa wingi, walimpeleka Lissu hadi mlango wa nyuma wa kuingia mahakamani hapo.

  8. Wataalamu Tanzania wanolewa kutibu uvimbe kwenye mishipa ya ubongo

    Madaktari bingwa kutoka barani Ulaya wameanza kuwajengea uwezo wataalamu wa afya nchini Tanzania mbinu za kutibu uvimbe kwenye mishipa na matatizo kwenye sakafu ya ubongo, lengo kupunguza rufaa...

  9. Serikali yazitaja hospitali zinazotoa tiba asilia

    Hospitali hizo zimeongezeka kutoka saba ambazo Serikali, mwaka 2023, ilizitangaza kuanza kutoa huduma hiyo, sasa zimefika 14.

  10. Ulega aagiza uchunguzi mshauri mradi wa BRT

    Ulega amesema ingekuwa busara kwa mkandarasi M/S Geo Engineering kuanza ujenzi katika maeneo tayari yaliyochimbwa badala ya kuendelea na uchimbaji katika maeneo mengine, hatua ambayo imeongeza...

Previous

Page 4 of 79

Next