Search

46 results for Julius Mnganga :

  1. BoT inavyokalia mabilioni ya walalahoi wanaopoteza simu

    Kati ya Oktoba 2019 mpaka Januari mwaka huu, zaidi ya wateja milioni 1.78 wa Mpesa walifungiwa akaunti zao zilizokuwa na Sh9.09 bilioni. Fedha hizi zilipelekwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwa...

  2. Mama akiwaamini wanawake Benki ya CRDB inainua uchumi wao

    Mei 29, Rais Samia Suluhu Hassan alifanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa mikoa (RAS). Katika orodha hiyo ya Makatibu Tawala 26, walikuwapo wapya 11.

  3. Serikali yazitaka benki kupunguza riba ya mikopo

    Serikali imezitaka taasisi za kifedha kueleza kikwazo chochote kilichopo kinachozizuia kutoa mikopo kwa riba nafuu ili kuwawezesha Watanzania wengi zaidi kunufaika na fursa zinazowazunguka.

  4. Samia kufanya ziara ya siku mbili Kenya

    Ziara hiyo itaanza Mei 4. Anatarajiwa kuzungumza na mwenyeji wake masuala kadhaa ya uhusiano na ushirikiano wa kijamii na kiuchumi. Wizara kutoa taarifa kesho.

  5. Benki zatakiwa kuwasaidia wanaotaka kuanzisha viwanda Tanzania

    Katika jitihada za kujenga uchumi imara, Serikali imeziomba Benki za biashara nchini kufungua dirisha la viwanda litakalowasaidia wananchi kuanzisha viwanda.

  6. CAG: Ndege ATCL hazitotengenezeka, zitatumika muda mfupi

    Ukiacha hasara inayopata ATCL, shirika hilo halilipi ada na fedha za matengenezo jambo linaloelezwa na CAG kuwa litafupisha muda wa matumizi wa ndege hizo.

  7. Sh105 milioni zalipwa watumishi wasio na mikataba halali

    Kwenye ripoti yake ya mwaka 2019/20, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amebaini taasisi nne zililipa wafanyakazi 15 wasio na mikataba halali zaidi ya Sh105.6 milioni.

  8. CAG: Makato ya HESLB yamepitiliza

    CAG amebaini mabadiliko ya makato ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu yaliyopanda kutoka asilimia nane mpaka 15 yamesababisha baadhi ya wafanyakazi kukatwa zaidi kuliko inavyokubalika kisheria.

  9. Huyu ndio bilionea Ali Mufuruki

    Mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini, Ali Mufuruki umezikwa jana Jumanne Desemba 10, 2019  katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam baada ya kuagwa katika ukumbi wa kimataifa wa...

  10. Ubalozi kutangaza utalii, bidhaa za Tanzania nchini China

    Ili kuongeza ufahamu, ubalozi wa Tanzania nchini China umeingia makubaliano na kituo cha runinga cha Hainan kutengeneza kipindi maalumu kutangaza bidhaa, utamaduni na utalii vilivyopo wa Tanzania.

Previous

Page 4 of 5

Next