Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

462 results for Saada Amir :

  1. Kwimba yataja siri kushika namba moja mtihani wa ‘Mock’ Kanda ya Ziwa

    Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imeibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza katika mtihani wa utimilifu wa darasa la saba (Mock) kwa mwaka 2025.

  2. PRIME Marufuku ya sigara maeneo ya umma mfupa mgumu

    Mbali na uvutaji huo wa sigara hadharani uchunguzi uliofanywa na Mwananchi umebaini kuwa katika maeneo mengi hakuna mabango ya kuzuia.

  3. Maabara ya tehama sekondari ya Igogwe itakavyowanufaisha wanafunzi

    Ofisa Tarafa wa Ilemela, James Chuwa, ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Hassan Masala, ameshukuru vifaa hivyo kupelekwa kwenye shule hiyo akiwataka wadau wengine waige mfano huo...

  4. Maabara ya tehama sekondari ya Igogwe itakavyowanufaisha wanafunzi

    Mwanafunzi mwingine wa shule hiyo, Marryangel Frank amesema matumizi ya kompyuta hizo yameongeza ari ya kujifunza kwa kina na kuomba wadau wengine waige mfano wa wadau hao wa elimu kusaidia shule...

  5. Serikali ilivyopangua ‘dili’ utoroshaji almasi ya Sh1.7 bilioni usiku

    ‘’Serikali ina mkono mrefu’’ Huo ndio usemi unaofaa kutumika kueleza jinsi Serikali inavyong’ámua na kudhibiti mbinu kutorosha madini nje ya nchi.

  6. Almasi ya Sh1.7 bilioni yakamatwa ikitoroshwa Mwanza

    Madini hayo yalikuwa yakitoroshwa kupitia Uwanja wa Ndege wa Mwanza.

  7. Idadi ya watoto njiti yaongezeka Kanda ya Ziwa, wataalamu wataka utafiti

    Idadi ya watoto wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) imeendelea kuongezeka katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, hususan Mkoa wa Mwanza, hali inayowalazimu wataalamu wa afya kuomba ufanyike tafiti ili...

  8. Sababu meli ya New Mv Victoria kusitisha safari yatajwa

    Nahodha Mkuu wa meli hiyo, Adam Mwisungu amesema ilisimama kutoa huduma ili kupisha matengenezo makubwa ya sheria za kimataifa yanayoelekeza meli zinazobeba abiria kufanyiwa uchunguzi.

  9. Gugumaji jipya ladhibitiwa Ziwa Victoria

    Serikali imefanikiwa kudhibiti gugumaji jipya aina ya salvinia molesta, huku changamoto ikibaki kushamiri kwa gugumaji la asili la lutende.

  10. PRIME Zawadi aina saba za kumpa mwenza wako

    Zawadi inaweza kuwa kitu chochote, hata kile kidogo kama pipi, maua, au hata maneno madogo ya upendo.

Previous

Page 4 of 47

Next