Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

929 results for Hawa Mathias :

  1. Mchengerwa awapa ujumbe Ma-RC, DC, atangaza ‘wiki ya muungano’

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ameagiza wakuu wa mikoa na wilaya nchini kutoruhusu chokochoko za uvunjifu wa amani na badala...

  2. TMA yatoa tahadhari wavuvi, wananchi mwambao Ziwa Nyasa

    Mbeya. Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), imetoa tahadhari kwa wavuvi na wananchi waishio mwambao mwa Ziwa Nyasa, Wilaya ya Kyela mkoani hapa, kufuatia kuwepo kwa vipindi vya mvua za radi na upepo...

  3. PRIME Marufuku ya bidhaa za Malawi na Afrika Kusini kilio kwa wauza ‘apple’, chaanza

    Marufuku iliyotolewa na Serikali kwa bidhaa za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, imewaathiri wafanyabiashara wa tufaa (apple) na zabibu jijini Dar es Salaam.

  4. 300 wafanyiwa upasuaji wa macho

    Watu 4,000 waliofanyiwa vipimo na madaktari bingwa wa macho wamebainika kuwa na uoni hafifu, kati hao 300 wamefanyiwa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya.

  5. Mgogoro wa mgawano wa fedha za Tasaf kati ya mama na mwanaye wasuluhishwa

    Timu ya Kampeni ya Msaada wa kisheria ya Mama Samia katika Halmashauri ya wilaya Biharamulo imefanikiwa kumaliza Mgogoro kati ya Mama na Mwanaye waliokuwa wakigombania Fedha za Mfuko wa Maendeleo...

  6. Watatu wafia mgodini Shinyanga

    Wachimbaji watatu wa dhahabu katika Kijiji cha Mwabomba, Wilaya ya Ushetu mkoani Shinyanga, wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi kwenye mgodi wa namba sita walilokuwa wakichimba.

  7. Wataalamu wa afya waonya matumizi tiba mbadala kutibu macho

    Wataalamu wa afya wameonya jamii kuachana na matumizi holela ya tiba mbadala kudhibiti magonjwa ya macho kwa madai ya kuwa kwenye hatari kubwa ya kupata upofu wa kudumu na uoni hafifu.

  8. Mwalimu auawa akidhaniwa mwizi

    Fredrick Nyambo (40), Mwalimu wa Shule ya Sekondari Hayombo katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana waliomdhania kuwa ni mwizi.

  9. Wakulima wawalalamikia wafugaji, RC Homera atoa maagizo kwa Polisi

    Wakulima wa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro unaoendelea kati yao na wafugaji, wakidai kupigwa viboko kisa wanalalamikia mifugo inalishwa kwenye mashamba...

  10. Vijana 5 ,000 kupewa nyenzo kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwenye sekta ya kilimo

    Vijana 5,100 kutoka vijiji 51, Tarafa ya Isangati Wilaya ya Mbeya, kujengewa uwezo wa kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwenye sekta ya kilimo kwa kugeukia matumizi ya teknolojia za...

Previous

Page 6 of 93

Next