Meneja Uwanja wa Mkwakwani Tanga asimamishwa kwa uzembe
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga, Rajab Abdallah, amemsimamisha kazi Meneja wa Uwanja wa CCM Mkwakwani, Akida Machai, kwa tuhuma za kushindwa kutekeleza ipasavyo majukumu...