Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Waziri Gwajima ashauri Siku ya Wanaume itambuliwe rasmi nchini

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima, amesema ipo haja ya Siku ya Wanaume Duniani, inayoadhimishwa Novemba 19 ya kila mwaka, kutambuliwa rasmi...

  2. Dk Biteko awataka wakuu wa wilaya, wakurugenzi kutatua kero za walimu

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaagiza wakurugenzi na wakuu wa wilaya nchini, kuanzisha utaratibu wa kukutana na walimu na kusikiliza changamoto zinazowakabili...

  3. Polisi yataja sababu kumshikilia kiongozi wa walimu wasio na ajira

    Barnabas Daud ambaye ni kaka wa mwalimu huyo amesema mdogo wake alimueleza kuwa anafuatiliwa na alipomuuliza anafuatiliwa na nani hakusema, lakini alimuacha dukani akiuza na aliporudi hakumkuta.

  4. Wanafunzi saba wafukuzwa shule Geita, wengine 64 wasimamishwa

    Mbali na waliofukuzwa, wanafunzi 19 wamesimamishwa kuendelea na masomo hadi Mei 5, 2025 huku wengine 45 wakisimamishwa kwa muda wa siku 21.

  5. Mzee mwenye miaka 103 adaiwa kuuawa na watoto wake

    Katika taarifa yake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo amewataja waliokamatwa kuwa ni Yombo Bundala (75) Makame Bundala (53) na Shija Bundala (50).

  6. Wawakilishi saba wa LBL mbaroni Geita

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia watu saba ambao ni wawakilishi wa Kampuni ya Leo Beneth London (LBL) kwa tuhuma za kuendesha biashara ya fedha mtandaoni bila kuwa na kibali cha Benki...

  7. Wanafunzi 30 washikiliwa Polisi kwa kusababisha vurugu, wamjeruhi mwalimu

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia wanafunzi 30 wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Geita kwa tuhuma za kusababisha vurugu zilizosababisha hasara ya mali za shule zenye thamani...

  8. Wadau Geita waingilia kati upungufu wa vyoo shuleni

    Wanafunzi 1,156 wa Shule ya Msingi Ikulwa iliyopo katika Manispaa ya Geita wanatumia matundu manane ya vyoo, sawa na tundu moja kutumiwa na wanafunzi 163, jambo ambalo ni kinyume na mwongozo wa...

  9. Jinsi kaburi la aliyenyofolewa sehemu za siri lilivyofukuliwa

    Geita. Upande wa mashtaka katika kesi inayowakabili washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Joyce Ludeheka kwa kumkata na kitu chenye ncha kali kisha kukata sehemu yake ya siri na kuikausha, umeieleza...

  10. Dk Diallo: Nunueni pembejeo mapema baada ya kuuza mazao

    Mjumbe wa bodi na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Mbeya, Patrick Mwalunenge, akizungumza jambo wakati wa ziara ya bodi ya kukagua mafanikio ya uhamasishaji wa matumizi ya mbolea kwa...

Previous

Page 6 of 70

Next