Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1438 results for Janeth Joseph :

  1. Upelelezi kesi anayedaiwa kumuua mumewe bado

    Msele aliuawa Mei 25, 2024. Mshtakiwa alifikishwa mahakamani Juni 10, 2024. Kesi imeahirishwa hadi Agosti 6, 2024.

  2. Mwili wa dereva bodaboda aliyetoweka siku tano wakutwa shambani

    Baada ya kuondoka na mteja huyo hakuonekana tena kijiweni hapo wala nyumbani kwao, mpaka mwili wake ulipokutwa jana jioni ukiwa umetelekezwa kwenye shamba hilo.

  3. Serikali yakubali yaishe baada ya mgomo wa wafanyabiashara Holili

    Hali hiyo ilimlazimu Mkuu wa Wilaya hiyo, Raymond Mwangwala kufika katika maeneo hayo na kuzungumza na wafanyabiashara hao na kuzuia ushuru huo kwa muda hadi mwafaka wa jambo hilo utakapofikiwa.

  4. Kesi ya Malisa kizungumkuti, yakutwa haijasajiliwa

    Kesi ya uchochezi inayomkabili Mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa imezua sintofahamu baada ya kufika mahakamani leo, Julai 18, 2024 mkoani Kilimanjaro na kukuta kesi...

  5. Malisa afikishwa mahakamani Kilimanjaro, kusomewa mashtaka

    Mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa amefikishwa mahakamani mkoani Kilimanjaro leo Alhamisi Julai 18, 2024 akisubiri kusomewa mashtaka mbalimbali likiwemo la uchochezi.

  6. Kupotea kwa muuguzi KCMC bado giza nene

    Kamanda Maigwa amesema wanaendelea na uchunguzi wa kutoweka kwa muuguzi huyo kwa kushirikiana na uongozi wa hospitali hiyo na tayari wameshamuhoji mchumba wa muuguzi huyo pamoja na mwenye nyumba...

  7. Tetemeko la ardhi lilivyozua taharuki Moshi

    Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 'Ritcher' 4.6 lililopita usiku wa Julai 16, 2024, likitokea Nairobi, Kenya na kuzua taharuki kwa wakazi wa Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.

  8. Moshi kujenga bweni la watoto wa kiume kukabiliana na ukatili

    Moshi. Katika kukabiliana na matukio ya ukatili kwenye jamii, ikiwemo vitendo vya ulawiti kwa watoto wa kiume, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro imelazimika kujenga bweni la wanafunzi wa kiume...

  9. Mbowe ataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka Watanzania kuvaa sura ya ujasiri kupigania hatima ya maisha yao badala ya kuwategemea viongozi wanaojali...

  10. Kauli ya mwisho kwa mchumba wake kabla ya muuguzi KCMC kutoweka

    Moshi. Neema Mmasy, mchumba wa muuguzi katika Hospitali ya Rufaa KCMC, Lenga Masunga (38), aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha ameeleza walichozungumza mara ya mwisho, alipomtaarifu...

Previous

Page 57 of 144

Next