VIDEO: Askari Kinapa, mgambo matatani wakituhumiwa kwa mauaji Mke asimulia ilivyokuwa, wananchi wachoma magogo, mambomba barabarani
PRIME Mkutano wa demokrasia: Suala la Katiba mpya bado moto Mkutano huo ulihudhuriwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Andrew Chenge, Mbunge wa Kilosa, Profesa Palamagamba Kabudi, Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo (Bara), Issihaka Mchinjita...
Wakili wa kujitegemea Oscar Ngole akutwa amefariki dunia nyumbani kwake Moshi Mwili wa wakili Ngole upo Hospitali ya St. Joseph, iliyopo Kata ya Soweto, Manispaa ya Moshi kwa uchunguzi zaidi
Warombo wataka kuanzisha benki yao Waliweka nia hiyo walipokutana wakiwa na madiwani wa kata zote 28, mbunge na viongozi wengine katika Ukumbi wa Msimbazi Center, uliopo jijini hapa kujadili maendeleo mbalimbali ya wilaya hiyo.
PRIME Mtaalamu aeleza sababu nyani kuvamia makazi ya watu Rombo, Moshi Kutokana na wingi wa wanayama hao wasumbufu waliopo katika maeneo hayo kama kima, tumbuli, ngedere wananchi nao wameanza kuwala.
Bibi adaiwa kumfanyia ukatili mjukuu wake wa miaka minane Bibi huyo anadaiwa kutenda ukatili huo mwa mjukuu wake kwa nyakati tofauti ikiwamo pia kumnyima chakula na kumfungia ndani ya nyumba baada ya kurudi shule, akimtaka asitoke kwa kuhofia kwamba...
Idadi wagonjwa wa macho KCMC tishio "Ukungu wa lenzi ya jicho una sababu nyingi ikiwemo umri, kadri umri unaposogea lenzi inapoteza ile hali yake ya uangavu na kuanza kupata ukungu, lakini si watu wazima wote wanakuwa nalo...
Miili ya wanafamilia wanne waliokufa kwa mafuriko yaagwa Moshi Kutokana na mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia Aprili 25, 2024 nyumba yao iliangukiwa na kifusi
Mtanzania kusaka rekodi kisiwa cha Greenland Anakwenda kuiwakilisha Tanzania nchini Denmark kwenye mashindao ya kutembea na kuteleza kwenye barafu katika kisiwa cha Greenland,
watatu wa familia moja wadaiwa kumuua Mwenyekiti wa kitongoji Same Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mtu mmoja, huku wawili wakiendelea kutafutwa, wakituhumiwa kumuua kwa kumkata sehemu za kichwa na begani na kitu kinachodhaniwa kuwa na ncha...