Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1132 results for Hadija Jumanne :

  1. Jaji Opiyo awataka wanawake kuendelea kutoa haki na usawa kwa jamii

    Jaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi, Dk Modesta Opiyo amewataka wanawake wa Mahakama kutafakari kwa makini mchango wao kwa jamii inayowazunguka.

  2. Wanafunzi Visiga Sekondari wapatiwa baiskeli kupunguza changamoto ya usafiri

    Dar es Salaam. Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Visiga, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, sasa wataondokana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kwenda shuleni baada ya kupatiwa msaada wa...

  3. ‘Tuma pesa kwa namba hii’ yawafikisha kortini 14

    Mashtaka mengine ni kuongeza genge la uhalifu na kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la mtu mwingine.

  4. Shahidi aeleza alivyomsaka mtuhumiwa kwenye mikoa mitatu tofauti

    Shahidi wa kwanza katika kesi ya mauaji inayomkabili mshtakiwa Isaya Mzava (63) anayedaiwa kumuua mkewe na kisha kujaribu kujiua, ameeleza namna mshtakiwa alivyokimbia nyumba yake na kwenda...

  5. Kinachoendelea kesi ya wanaodaiwa kughushi wosia wa mama yao

    Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya kughushi wosia wa mama yao mzazi inayomkabili Nargis Omar(70) na mdogo wake Mohamed Omar(64), umekamilika. Wakili wa Serikali Mwandamizi, Neema Moshi...

  6. Bosi wa Jatu atoa ombi mahakamani, Serikali kumjibu Machi 11

    Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imfutie kesi inayomkabili na kumuachia huru kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika...

  7. Wanaodaiwa kusafirisha kilo 232 za heroini, upelelezi wao upo hatua ya mwisho

    Serikali imesema upelelezi katika kesi ya kusafirisha kilo 332 za heroini na Methamphetamine, inayowakabili washtakiwa tisa, upo hatua za mwisho kukamilika.

  8. Mjomba, mpwa wake kortini wakidaiwa kusafirisha bangi

    Kulwa Mathias ( 31) na mpwa wake, Edina Paul, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na shitaka moja la kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi zenye uzito wa gramu...

  9. Wendy aliyejifungua gerezani, wenzake kuendelea kusota rumande

    Mkurugenzi wa kampuni ya mikopo ya Atlantic Micro Credit Limited, Wendy Ishengoma (38) na wenzake watatu ambao wanakabiliwa na kesi ya kuendesha biashara ya upatu, wataendelea kusota rumande hadi...

  10. Wanne kortini wakidaiwa kusafirisha kilo mbili za heroin, mirungi

    linalomkabili lina dhaminika hivyo kuomba Mahakama itoe masharti ambayo yatamfanya mshtakiwa huyo kuhudhuria mahakamani kila tarehe ya kesi yake inapotajwa. Hakimu Kiswaga alisema atatoa masharti...

Previous

Page 10 of 114

Next