Mwigulu amuibua msanii, aagiza aingizwe kwenye ziara zake akatumbuize
Kijana mkazi wa Mabogini, Wilaya ya Moshi, amejikuta akipata fursa ya kipekee baada ya kuvutia umati na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, kwa kipaji chake cha kuimba katika mkutano wa hadhara.