Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1156 results for Jesse Mikofu :

  1. Serikali yafafanua kuingia bure uwanjani mechi ya Simba dhidi ya Berkane

    Baada ya kuibuka taarifa kwenye mitandao ya kijamii zikidai Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amelipia gharama zote za mechi ya marudio ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba...

  2. Zima waka ya umeme yaibua mjadala barazani, Serikali yaeleza sababu

    Tatizo la kukatika kwa umeme mara kwa mara limeibua mjadala mkali miongoni mwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, wakilitaka Serikali kutoa maelezo ya kina kuhusu chanzo cha changamoto hiyo pamoja...

  3. Mikopo ya asilimia 10 yaibua mjadala, mawaziri watofautiana

    Mawaziri wawili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wametofautiana ndani ya Baraza la Wawakilishi kuhusu utekelezaji wa utoaji wa asilimia 10 ya mapato ya halmashauri kwa ajili ya mikopo kwa...

  4. Wizara ya Ujenzi yatoa vipaumbele vya kuipeleka Zanzibar kwenye uchumi wa kidijitali

    Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi imeweka mkazo katika utekelezaji wa vipaumbele vyake vinavyolenga kuendeleza miundombinu ya barabara, bandari na viwanja vya ndege, sambamba na...

  5. Sh240 bilioni kujenga shule 23 za ghorofa Zanzibar

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesaini mkataba na Benki ya CRDB kwa ajili ya kupata mkopo wa bei nafuu wa Euro milioni 79 (takribani Sh240 bilioni), zitakazotumika katika ujenzi wa...

  6. Serikali yaanza operesheni kutokomeza ombaomba mitaani Zanzibar

    Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Dk Mohamed Ali Suleiman amesema kuwa ingawa Serikali imekuwa ikitoa kauli kuhusu suala hilo mara kwa mara, bado tatizo hilo linaendelea.

  7. Haya ndio maeneo makuu yaliyoimarisha elimu Zanzibar

    Bajeti ya sekta hiyo imeongezeka kutoka Sh265.5 bilioni mwaka 2021/2022 hadi kufikia Sh830 bilioni kwa mwaka 2024/2025, sawa na ongezeko la asilimia 212.6.

  8. Wawakilishi wataka mpango maalumu kukuza utalii wa ndani

    Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema kuwa licha ya kuongezeka kwa idadi ya watalii nchini, bado hakuna mkakati madhubuti wa kuwezesha watalii wa ndani kunufaika na vivutio vya utalii...

  9. Viongozi 28, wanachama 120 wabwaga manyanga Chadema

    Zaidi ya viongozi 200 wa Chadema Zanzibar wajiondoa chama wakilalamikia ubaguzi.

  10. ‘Ujenzi uwanja wa ndege Pemba, kuimarisha utalii wa kimataifa’

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanza rasmi ujenzi wa uwanja wa ndege wa Pemba, mradi unaotajwa kuwa chachu ya maendeleo kwa kisiwa hicho ukielezwa utafungua zaidi fursa za kiuchumi...

Previous

Page 10 of 116

Next