Vigezo aliyejifungua kwa upasuaji kuzaa kawaida Mwananchi limezungumza na baadhi ya wataalamu wa afya ambao wanasema upo uwezekano wa mama huyo akajifungua kwa njia ya kawaida pia baada ya kufanyiwa upasuaji kwa mtoto wa awali.
VIDEO: Siku 29 za maumivu kwa Kombo wa Chadema Kombo Mbwana, mmoja wa maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, hivi karibuni alikamatwa na kushtakiwa kwa kesi ya jinai inayojumuisha mashitaka matatu chini ya...
Ujasiriamali mwarobaini wa tatizo la ajira nchini Uwekezaji katika shughuli mbalimbali za ujasiriamali imetajwa kuwa moja ya suluhisho la kukabiliana na tatizo la ajira nchini haswa kwa vijana.
Tanzania yang’ara shindano ukuzaji ubunifu kwa watoto Dar es Salaam. Tanzania yang’ara katika vipengele vya uvumbuzi na bunifu bora zilizofanywa na watoto katika mashindano ya kukuza ubunifu wa masuala ya teknolojia na uhandisi, kwa watoto...
PRIME Mambo matano yanayoharibu ubongo wa mtoto Afya bora kwa mtoto inachangiwa na mambo mengi, ikiwamo chakula bora, usafi wa mwili na mazingira anayoishi. Vyote hivyo ni msingi mzuri wa hatua ya makuzi ya mtoto.
Changamoto wajasiriamali wanawake zatajwa Ugumu wa kupatikana kwa mitaji, ukosefu wa ujuzi wa masoko na gharama za juu za usajili wa biashara vimetajwa kuwa baadhi ya sababu zinazowakwamisha wajasiriamali wanawake kufikia mafanikio...
Lugangira: Matumizi hasi ya mitandao yaweza kukunyima fursa Vijana nchini wamehimizwa kutumia mitandao ya kijamii kwa usahihi kwani inaweza kuwa moja kati ya kisababishi cha kupata au kukosa fursa inapojitokeza.
Maajabu aliyeasisi jina la Kwa Bi Nyau Kwa sasa eneo la Kwa Bibi Nyau ni moja kati ya maeneo maarufu katika Jiji la Dar es Salaam.
Mafunzo ya amali mkombozi kwa watoto wenye ulemavu Potofu zilizopo katika baadhi ya jamii, wenye ulemavu wamekuwa wakibaguliwa na wakati mwingine kunyimwa haki za msingi, ikiwamo kupatiwa elimu
Zungu: Jamii ijitenge na taarifa zisizo sahihi Dar es Salaam. Jamii imeaswa kutofungama na makundi ya watu yenye lengo la kubomoa umoja uliojengeka baina yao kwa kusambaza taarifa zisizo sahihi na kuibua chuki na taharuki. Wito huo...