Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

311 results for Daniel Makaka. :

  1. Wingi wa kodi watesa wavuvi Ziwa Victoria, waiangukia Serikali

    Wavuvi wanaovua samaki aina ya dagaa ndani ya Ziwa Victoria wameiomba Serikali kuwaondolea wingi wa kodi unaoathiri shughuli zao za uvuvi ndani ya ziwa hilo

  2. Rekodi zinazotikisa Ligi Kuu

    Ni weka niweke katika Ligi Kuu Bara baada ya kubakisha michezo 10 hadi tisa kwa baadhi ya timu kumalizika kwa msimu huu, huku ushindani ukitikisa kwa vigogo wanaowania ubingwa, nafasi nne za juu...

    New Content Item (3)
  3. Mabalozi CCM wadai kuchangishwa fedha, Katibu UVCCM akanusha

    Baadhi ya mabalozi wa CCM wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza, wanamlalamikia Katibu wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Tawi la Majengo, Taratibu Julius, kwa madai ya kuwachangisha Sh810,000 kwa ajili ya...

  4. TFS yasherehekea miaka 63 ya uhuru kwa upandaji miti

    Katika kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanganyika, Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), imetoa miche ya miti kwa taasisi za serikali kwa lengo la kupandwa ili kuboresha mazingira.

  5. Walalama kunyeshewa mvua, kusafiri na mifugo kwenye kivuko

    Buchosa. Kunyeshewa mvua, kubanana pamoja na kubeba abiria na mifugo kwa wakati mmoja ni miongoni mwa adha wanayokutana nayo wakazi wa Kisiwa cha Kome Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza katika...

  6. PRIME Kikongwe wa miaka 91 asimulia machungu kufiwa na mumewe wa miaka 102

    Ndoa hiyo ilifungwa Juni 17, 2023 mbele ya Padri Julian Mondula wa Parokia ya Ngomamtimba Jimbo Katoliki Geita, lakini baada ya siku 60 tu yaani Agosti 18, 2023 Kibuta alifariki dunia.

  7. Dk Biteko azihakikishia ushirikiano taasisi za dini

    Naibu Waziri Mkuu Dk Dotto Biteko amesema Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi za dini kuboresha huduma za afya nchini kwa lengo la kutoa huduma bora za afya kwa wananchi.

  8. Sh21 bilioni kumaliza kero ya maji Buchosa

    Huenda adha ya uhaba wa maji kwa wakazi wa Buchosa wilayani Sengerema ikamalizika baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa miradi yenye thamani ya zaidi ya Sh21 bilioni.

  9. Bibi aliyeuawa kwa kukatwa panga Sengerema azikwa

    Sarah Petro (74) aliyeuawa Septemba 22, 2024 kwa kukatwa kwa panga na watu wasiojulikana amezikwa.

  10. Bibi wa miaka 74 auawa kwa kukatwakatwa mapanga

    Sarah Petro (74), mkazi wa Kijiji cha Magulukwenda, Kitongoji cha Mizorozoro Kata ya Kalebezo wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza, ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

Page 1 of 32

Next