Je, Tanzania inapaswa kuwa na wasiwasi na nakisi ya bajeti yake?
Kati ya 1999/00 na 2020/21, matumizi ya Serikali yaliongezeka kwa mara 26 huku mapato ya serikali yatokanayo na kodi na yasiyo ya kodi yakipanda mara 20, na kusababisha ongezeko la upungufu...