Search

809 results for Herieth Makwetta :

  1. ‘Carbetocin’ yatajwa suluhisho kupunguza vifo vya wajawazito

    Serikali imeshauriwa kuingiza aina mpya ya dawa ‘Carbetocin HS’ kwenye orodha ya Taifa ya Dawa Muhimu (STG/NEMLIT) ili kupunguza vifo vya wajawazito vinavyoweza kuzuilika hasa vile vitokanavyo na...

  2. Madaktari washauri kipimo cha mkojo kuokoa figo zinazofeli

    Wakati madaktari wakiomba Serikali iangalie namna ya kukifanya kipimo cha mkojo kuwa cha lazima kama ilivyo shinikizo la damu ‘presha’ ili kudhibiti changamoto ya figo kufeli, takwimu za afya za...

  3. Wagonjwa waishukuru Serikali kuwaletea madktari bingwa nchini

    Wagonjwa walionufaika na matibabu ya upasuaji wa nyonga yaliyotolewa na jopo la madaktari wa mifupa na nyongo kutoka Los Angeles, Marekani Agosti mwaka huu kupitia mpango wa 'Samia Love'...

  4. PRIME Hali tete wajawazito Temeke

    Idadi kubwa ya wajawazito wanaopokewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke imesababisha wachangie kitanda kimoja wawili hadi watatu.

  5. Mtoto agundulika na Polio Sumbawanga, milioni 3 kuchanjwa

    Baada ya uchunguzi wa maabara kuthibitisha kuwa mtoto aliyekuwa amepooza Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ana maambukizi ya virusi cha polio, Serikali imeazimia kuchanja watoto walio chini ya...

  6. PRIME Dawa mpya ya Ukimwi gumzo

    Ni matumaini mapya. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya majaribio ya tiba ya virusi vya Ukimwi (VVU) kutarajiwa kuanza nchini Denmark kabla ya mwisho wa mwaka huu.

  7. PRIME Pacha Eliud na Elikana katika changamoto mpya

    Licha ya kuonekana wenye afya njema, Elikana na Eliudi Mwakyusa (10) maisha yao baada ya kutenganishwa hayajawahi kuwa sawa kwao kutokana na kushindwa kuzuia haja kubwa na ndogo

  8. VIDEO: Ajira ya Mariam yaleta kicheko kwa watumishi, wanaojifungua

    Mwanamke aliyejitolea kukumbatia watoto njiti, Mariam Mwakabungu (25) amegeuka faraja kwa wanawake wanaojifungua kabla ya wakati, wauguzi na madaktari katika wodi ya watoto hao iliyopo Hospitali...

  9. Bilioni 9 kusomesha wataalamu bingwa, bobezi

    Wizara ya Afya imesema imepokea Sh9 bilioni kwa ajili ya mafunzo ya wataalamu bingwa na bobezi katika fani mbalimbali za sekta ya afya, na kwamba udahili wa masomo ya shahada ya uzamili...

  10. Dk Mpango asisitiza maadili, nidhamu viongozi wa mikoa

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Philip Mpango amewataka viongozi wa juu ngazi za mikoa kuzingatia maadili na nidhamu katika maeneo ya kazi ili kuwa picha nzuri na ya mfano...

Page 1 of 81

Next