Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

177 results for Joyce Joliga :

  1. RC Ruvuma atoa maelekezo kukamilika stendi ya Lundusi

    Ujenzi wa stendi hiyo umegharimu zaidi ya Sh686.3 milioni. Kanali amesema maagizo hayo yanalenga kuhakikisha mradi huo unaleta tija kwa wananchi kwa kuondoa kero ya kusafiri umbali mrefu na...

  2. TRA yakabidhi serikalini gari lililoingizwa kimagendo nchini

    Amesema kwa mujibu wa sheria za forodha, mali inayokamatwa inapaswa kulipiwa ndani ya siku 90, na endapo hilo halitafanyika, mali hiyo hukabidhiwa kwa taasisi ya serikali.

  3. Jeshi Polisi Ruvuma lasitisha mikutano ya Chadema 

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, limesitisha mikutano yote iliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ukiwamo wa kuhitimisha ziara ya siku sita ya viongozi wakuu wa chama...

  4. Mabomu ya machozi yarindima tena Songea, Heche naye adakwa

    Mkutano uliopangwa kufanyika leo saa tano asubuhi kati ya waandishi wa habari na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, umevurugika baada ya Polisi kuwatawanya wanachama...

  5. Lissu adaiwa kushikiliwa na Polisi Ruvuma

    Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anadaiwa kushirikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma muda mchache baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara...

  6. Balile, Machumu wapita bila kupingwa uchaguzi TEF, wajumbe wapatikana

    Songea. Deodatus Balile amechaguliwa bila kupingwa kuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa kipindi cha miaka minne ijayo. Uchaguzi huo umefanyika leo, Jumamosi, Aprili 5, 2025...

  7. UCHAGUZI 2025: Dk Nchimbi: Chadema wasilazimishwe, Lissu naomba kura yako

    Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amewataka wanachama wa chama hicho na wadau wengine wa siasa kutokilazimisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kushiriki...

  8. Dk Nchimbi atoa maagizo wizara ya Bashe, wakala wa mbegu

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi ameiagiza Wizara ya Kilimo kuongeza kasi ya utafiti na uzalishaji mbegu za alizeti ili wananchi na Taifa liondokane na uagizaji...

  9. PRIME Songea wachekelea uteuzi wa Dk Nchimbi ugombea mwenza CCM

    Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wameonyesha furaha na kuridhishwa na uteuzi wa Balozi Dk Emmanuel Nchimbi kuwa mgombea mwenza wa CCM katika uchaguzi mkuu ujao.

  10. Wananchi Mbinga waomba zahanati yao ifunguliwe haraka

    Wananchi wa Kijiji cha Mundeki, Kata ya Muyangayanga, Wilaya ya Mbinga, wameiomba Serikali kuharakisha kupeleka wataalamu wa afya na vifaa tiba katika zahanati yao ili huduma za afya zianze...

Page 1 of 18

Next