Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

235 results for Rajabu Athumani :

  1. Dk Biteko atoa maagizo Ewura, asifu utekelezaji wa kazi

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko ameutaka uongozi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), kuhakikisha upatikanaji endelevu wa mafuta kwa gharama halisi,...

  2. Wachekelea wingi vituo uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

    Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Tanga waliojitokeza kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura wamepongeza zoezi hilo, hasa kutokana na uwepo wa vituo vingi vya kujiandikisha...

  3. Handeni kufunga kamera za barabarani kudhibiti ajali, uhalifu

    Ndani ya siku 45 kati ya Desemba 2024 mpaka Januari 2025, watu zaidi ya 20 wamefariki dunia kwa ajali mbalimbali wilayani Handeni huku wengine wakijeruhiwa na kuachwa bila viungo sababu ya ajali...

  4. Wawili wafariki dunia ajali Handeni, yumo askari JWTZ

    Watu wawili wamefariki dunia katika ajali ya gari iliyohusisha Toyota Noah kuigonga Toyota Canter ambayo ilikuwa pembeni ya barabara usiku wa kuamkia leo Jumatatu Januari 10, 2025 katika eneo la...

  5. Madiwani Handeni Mjini waagiza ofisi ya ardhi ifungwe siku 14

    Baraza la madiwani la Halmashauri ya Mji wa Handeni, mkoani Tanga limeazimia na kumuagiza mkurugenzi wa halmashauri hiyo kuifunga kwa siku 14 ofisi ya ofisa ardhi kwa kushindwa kutatua migogoro...

  6. Wanaodaiwa kuvamia maeneo tengefu Kilindi wapewa siku saba kuondoka

    Wilaya ya Kilindi imekuwa na changamoto ya migogoro ya ardhi ya mara kwa mara inayosababisha mapigano kati ya wakulima na wafugaji wakigombea maeneo na mipaka ya vijiji.

  7. Ulega: Sheikh Idd amefariki kabla hajatimiza ndoto yake

    Kwa mujibu wake Novemba 25, mwaka jana na kufanya naye mazungumzo kuhusu masuala ya uchaguzi, akamweleza kwamba hata Uchaguzi Mkuu wa 2020, aliandika pia kitabu kilichoelezea mambo 10 ya msingi...

  8. Madereva Tanga walia kukosa ajira kwenye miradi ya maendeleo

    Mwenyekiti wa Chamata, Abdallah Said, amesema alihamasisha wenzake kuunda chama hicho ili wapate fursa za ajira kwa pamoja, lakini mpaka sasa hawajui nini kinaendelea.

  9. Polisi wamdaka dereva wa lori lililoua 11 Handeni

    Gari hilo aina ya Tata, lilikuwa limeteleza na kuacha barabara lakini halikusababisha madhara yoyote kwa binadamu.

  10. Miili saba kati ya 11 ajali ya Handeni kuzikwa, majonzi yatawala

    Miili ya watu 11 waliopoteza maisha katika ajali ya lori katika Kijiji cha Chang’ombe, Kata ya Segera, Wilaya ya Handeni, imetambuliwa na baadhi imeshazikwa na mingine utaratibu unaendelea.

Page 1 of 24

Next