Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

266 results for Rajabu Athumani :

  1. Mashirika yasio ya kiserikali Tanga yatakiwa kuboresha miradi

    Amesema mashirika yanatakiwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za nchi kwa kuwa makini na kutambua wanakwenda kufanya nini na miradi husika itakwenda kunufaisha vipi jamii za rika zote...

  2. RC Batilda akerwa utoro wa watumishi kazini, atoa agizo

    Amesema kuna baadhi ya watumishi wanaomba ruhusa kuwa wanaumwa, ila baadaye anakutwa kwenye viwanja vya mpira au matukio mengine tofauti na alichokisema jambo ambalo sio sahihi na kinyume na...

  3. Mahakama yamng’ang’ania aliyeiba Sh23,000, jela miaka 30

    Hii ni rufaa yake ya pili kushindwa ambapo awali alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni baada ya kukutwa na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha kinyume na kifungu cha 287A cha Kanuni...

  4. 42 mbaroni kwa tuhuma za uhalifu Tanga

    Amesema sambamba na ukamataji huo, jumla ya pikipiki 28 zimekamatwa, ambapo tisa kati ya hizo hazina namba za usajili, na zinashikiliwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi kubaini uhalali wa umiliki...

  5. Aliyepotea wiki moja akutwa ameuawa, Polisi yatoa kauli

    Jeshi la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kuhusika na mauaji hayo, huku wengine watatu wakiendelea kutafutwa.

  6. Historia ya kuvutia maeneo ya Jiji la Tanga

    Nje ya historia ya mkoa, maeneo mbalimbali ndani ya Jiji la Tanga yana simulizi za kuvutia kwa anayezisoma au kusikiliza.

    New Content Item (1)
  7. Mgodi wa dhahabu Magambazi kuanza rasmi Julai

    Handeni. Wizara ya Madini imeridhia Kampuni za PMM Tanzania Limited na East African Metals (CANACO) watafute mwekezaji mwingine wa tatu mwenye nguvu ili kuendesha mgodi wa Dhahabu wa Magambazi...

  8. Kigogo CUF atimkia CCM, adai ‘matunda ya msimu’ yamemchosha

    Mwananchi imezungumza na Mjumbe wa Baraza la Uongozi Taifa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CUF wilayani Handeni, Masoud Mhina amesema wamesikia taarifa za kuhama kwake mapema leo.

  9. Mvua za masika zaacha maumivu mikoa mitatu

    Katika mikoa hiyo, mbali na Daraja la Somanga-Mtama lililokatika Aprili 6, lingine la Mto Matandu lilikatika Aprili 7 na kusababisha adha kubwa kwa wasafiri na wasafirishaji.

  10. Serikali yaweka msimamo hatima ya mgodi wa dhahabu Magambazi

    Serikali imesema itaendelea na msimamo wa kutozihuisha leseni za Kampuni ya PMM Tanzania Limited inayoendesha na kumiliki mgodi wa kati wa dhahabu wa Magambazi, uliopo wilayani Handeni, mkoani...

Page 1 of 27

Next