Habari Kuu
Dk Mwakyembe, Serukamba wavutana Bungeni
Dodoma. Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe ameingia katika msuguano wa chinichini na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba ambaye alidaiwa kuongeza maneno kwenye hotuba ya kamati yake yaliyokuwa yakimlenga waziri huyo binafsi....
Kitaifa
Pensheni kwa wazee ‘ndoto’
Dodoma. Sakata la kuanzishwa kwa malipo ya pensheni kwa wazee bado ni giza nene baada ya Rais Jakaya Kikwete kutaka hatua hiyo...
Kitaifa
Hofu yatanda bungeni Dodoma
Dodoma. Hali ya wasiwasi imelikumba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwepo kwa tetesi ya shambulio la...
Kitaifa
Msigwa ‘amtunishia msuli’ Kanali Kinana
Iringa. Siku mbili baada ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, kumtaka Mbunge wa Iringa Mjini...