Habari Kuu

Dk Mwakyembe, Serukamba wavutana Bungeni

Posted 23 hours ago

Dodoma. Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe ameingia katika msuguano wa chinichini na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Peter Serukamba ambaye alidaiwa kuongeza maneno kwenye hotuba ya kamati yake yaliyokuwa yakimlenga waziri huyo binafsi....

comment