Habari Kuu

Ni mbio tu Arusha, mabomu kila kona: Lissu, Arfi mbaroni

Posted 14 hours ago

Wabunge wanne wa Chadema, Said Arfi (Mpanda Mjini), Tundu Lissu (Singida Mashariki), Mustapha Akunaay (Mbulu) na Joyce Mukya (Viti Maalumu) wamekamatwa wakituhumiwa kuhusika na mkusanyiko usio halali kwenye Uwanja wa Soweto...

comment