Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Jengo la kihistoria Beit-al-Ajaib laanguka Zanzibar

Jengo laanguka Zanzibar, wanne wahofiwa kufukiwa na kifusi

Muktasari:

Jengo la kihistoria la Beit-al-Ajaib lililopo mji Mkongwe mjini Unguja, Zanzibar lililokuwa likifanyiwa ukarabati limeanguka huku watu kadhaa wakidaiwa kufukiwa na kifusi.

Unguja. Jengo la kihistoria la Beit-al-Ajaib lililopo mji Mkongwe mjini Unguja, Zanzibar lililokuwa likifanyiwa ukarabati limeanguka huku watu kadhaa wakidaiwa kufukiwa na kifusi.

Jitihada za kuwaokoa zinaendelea kufanywa na kikosi maalumu cha huduma za uokoaji.

Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefika eneo la tukio na kupewa taarifa kuhusu uokoaji unaoendelea.

Habari zaidi endelea kufuatilia mtandao wa Mwananchi