Picha BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI Jumatatu, Februari 24, 2020 — updated on Novemba 08, 2020 Katibu wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Charles Kadonya (katikati) akishauriana jambo na wabunge kabla ya uchaguzi wa Mwenyekiti wa muda jijini Arusha leo. Picha na Filbert Rweyemamu Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, anaswa akitaka kunywa sumu Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam mkazi wa Kwa Mfipa Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, Faraja Chafu.
Haya hapa matokeo ya kidato cha sita 2025 Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na...
PRIME Bomu la nyaya katika majengo Mbali ya Kariakoo kuwa eneo lenye msongamano wa watu na vyombo vya moto kutokana na biashara zinazofanyika, kuna utandazaji holela wa nyaya zikiwamo za umeme, hali inayotishia usalama.