Picha KESI YA WABUNGE CHADEMA Jumatatu, Februari 24, 2020 — updated on Novemba 08, 2020 Wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) na wabunge wa jimbo la Kilombero na Mlimba wakitoka katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro baada ya kesi yao kuhairishwa hadi machi 18 mwaka huu ambapo itasikilizwa tena. Picha na Juma Mtanda. Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME UCHAMBUZI WA MJEMA: Sababu 10 za ‘kibongo bongo’ kwanini asilimia 50 ya wabunge hawatarudi 2025 Wanasayansi wa masuala ya siasa wanabainisha sababu kadhaa zinazofanya baadhi ya wabunge wasichaguliwe tena.
PRIME Miaka 10 ya Majaliwa ilivyoonyesha upekee Akiwa Waziri Mkuu wa 10 baada ya uhuru wa Tanzania, Majaliwa amefanya kazi na marais wawili--hayati John Magufuli, aliyemteua kwa mara ya kwanza kuwa Waziri Mkuu, na Samia Suluhu Hassan...
Vilio, simanzi vyatawala KCMC ndugu wakishuhudia majeneza 36 yakiwasili Mpaka sasa vifo vilivyokana na ajali ya barabarani vimefikia 42 huku majeruhi wawili waliosalia katika hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini, KCMC wakiendelea na matibabu baada ya wengine 24...