Picha KESI YA WABUNGE CHADEMA Jumatatu, Februari 24, 2020 — updated on Novemba 08, 2020 Wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) na wabunge wa jimbo la Kilombero na Mlimba wakitoka katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro baada ya kesi yao kuhairishwa hadi machi 18 mwaka huu ambapo itasikilizwa tena. Picha na Juma Mtanda. Photo: 1/1 View caption Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus. Join the discussion Login with your Nation account Commenting as Please add your name to your Nation profile to comment
Mgawo wa maji watikisa mijini, vijijini Licha ya wingi wa rasilimali maji zilizopo nchini, upatikanaji wa maji safi na salama, bado ni changamoto kwa wananchi ambao baadhi hupata maji kwa mgawo, huku wengine hasa vijijini wakitegemea...
Bei ya mafuta yazidi kushuka Bei ya mafuta imeendelea kushuka, baada ya Ewura kutangaza bei mpya kuanzia kesho, ambapo lita moja ya petroli itauzwa Sh2, 886, dizeli Sh3083 na mafuta ya taa Sh3, 275 kwa lita.
Rais Samia aomba mjadala changamoto bunifu sekta ya afya Rais Samia Suluhu Hassan ameziomba Jumuiya ya Kimataifa kujadili changamoto tatu zinazorudisha nyuma juhudi za kufanya bunifu kwenye sekta ya afya