Picha Ukame wasotesha wananchi Monduli wakisaka maji Jumatatu, Oktoba 24, 2022 Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Misimingori wakiwa kwenye foleni kupata mgawo wa maji wa ndoo mbili kila kaya kupunguza makali ya uhaba wa maji wanayokabiliana nayo iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi. Picha na Bertha Ismail Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Utunzaji ngozi kwa wanaume wazua mjadala Kwa miongo kadhaa, huduma ya ngozi maarufu ‘skincare’ ilionekana kama jambo la wanawake, ikiambatana na watu maarufu, watu wa mitandao ya kijamii na wanamitindo wa urembo. Lakini mtazamo huo kwa...
PRIME Samia: Tunataka amani na utulivu Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa njema kuhusu utulivu na amani iliyopo Tanzania iendelezwe katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
PRIME Mama asimulia mwanaye aliyeuawa kwa kipigo… “Mama nimepigwa sana… mama nisaidie, sijaleta vitu, nimekuja mama yangu unisaidie, nakufa nisaidie.”