Picha Ukame wasotesha wananchi Monduli wakisaka maji Jumatatu, Oktoba 24, 2022 Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Misimingori wakiwa kwenye foleni kupata mgawo wa maji wa ndoo mbili kila kaya kupunguza makali ya uhaba wa maji wanayokabiliana nayo iliyosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi. Picha na Bertha Ismail Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Muungano: Siku 22,280 za majaribu, mikasa na ushindi Mzunguko wa Kalenda ya Gregory, ambayo inatumika Tanzania na sehemu kubwa ya ulimwengu, mwaka mmoja una siku 365, halafu kila baada ya miaka minne, mwaka unakuwa na siku 366. Kimahesabu, miaka 61...
Samia: 4R zisiwe kigezo kuvunja sheria Amesema mwaka wa 61 wa Muungano umeangukia katika uchaguzi mkuu, ni matumaini yake sifa ya nchi itaendelea
PRIME Saa 10 za hekaheka Kisutu Chadema na Polisi Ni zaidi ya saa 10 za hekaheka Kisutu, ndivyo unavyoweza kusimulia kilichotokea katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.