Picha Ziara ya Rais Samia China Alhamisi, Novemba 03, 2022 Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping wakati akikagua Gwaride la Heshima katika ukumbi wa The People Great Hall, Beijing nchini China Novemba 3, 2022. Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Mbaroni kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, anaswa akitaka kunywa sumu Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Isaya Kastam mkazi wa Kwa Mfipa Kibaha kwa tuhuma za mauaji ya mpenzi wake, Faraja Chafu.
Haya hapa matokeo ya kidato cha sita 2025 Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai 7, 2025 visiwani Zanzibar na...
PRIME Bomu la nyaya katika majengo Mbali ya Kariakoo kuwa eneo lenye msongamano wa watu na vyombo vya moto kutokana na biashara zinazofanyika, kuna utandazaji holela wa nyaya zikiwamo za umeme, hali inayotishia usalama.