Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mchungaji wa Kanisa la EAGT Kiloleli Mwanza, Dk Jacob Mutashi amesema hakuna jambo baya katika utumishi wa umma kama kiongozi wa umma kwenda Club (kumbi za starehe) na kukata mauno huku akisema viongozi wenye tabia hizo wanapaswa kuziacha.

 Dk Mutash ametoa kauli hiyo Ijumaa Oktoba 14, 2022 kwenye kongamano la kuenzi maisha ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere lililoandaliwa na kufanyika katika Chuo cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Mwanza.