Afungwa miaka 10 kwa jaribio la kumuua mkewe kwa wivu wa mapenzi
Mwangaya, maarufu kama Ibrahim Maiko Mangaya, ambaye ni mlinzi na mkazi wa Bunju, anadaiwa kujaribu kumuua mke wake, Pili Musa kwa kumcharanga mapanga mwili mzima kutokana na wivu wa mapenzi.