Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1146 results for Hadija Jumanne :

  1. Upelelezi kesi ya wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao, wakamilika

    Dar es Salaam. Upelelezi katika kesi ya kusababisha madhara mwilini inayomkabili mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, umekamilika. Wakili wa...

  2. Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo

    T: Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo S: Mary na wanafunzi wenzake wawili, wadaiwa kumpiga mwanafunzi mwenzao na kumsabishia madhara mwilini, tukio wanalodaiwa kulitenda...

  3. Mama aliyetuhumiwa kumuua bintiye akutwa kesi ya kujibu

    Upande wa mashtaka uliita mashahidi 22 na vielelezo tisa ambao walitoa ushahidi wao mahakamani hapo kuhusiana na kesi hiyo ya mauaji.

  4. Afungwa miaka 10 kwa jaribio la kumuua mkewe kwa wivu wa mapenzi

    Mwangaya, maarufu kama Ibrahim Maiko Mangaya, ambaye ni mlinzi na mkazi wa Bunju, anadaiwa kujaribu kumuua mke wake, Pili Musa kwa kumcharanga mapanga mwili mzima kutokana na wivu wa mapenzi.

  5. PRIME Lissu aibuka kivingine, Mahakama ikitupa shauri lake

    Wakati Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ikitupilia mbali maombi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, kiongozi huyo leo Julai 11, 2025 amefiki mahakamani kivingine.

  6. PRIME AG, IGP kujitetea kesi ya waumini Kanisa la Gwajima

    Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imetoa siku 10 kwa wajibu maombi kuwasilisha utetezi wa maandishi katika shauri la Kikatiba lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory of Christ...

  7. Maajabu ya parachichi kwa afya ya binadamu

    Matumizi ya mara kwa mara ya parachichi husaidia kulinda afya ya ini kwa watoto mwenye umri zaidi ya miezi sita na kuendelea.

  8. Mahakama Kuu yatupa maombi ya Lissu

    Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, baada ya kukubali pingamizi la Jamhuri kuwa yako kinyume cha sheria.

  9. Viongozi, wafuasi Chadema wajitokeza mahakamani kufuatilia uamuzi kesi ya Lissu

    Viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamejitokeza katika Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam kufuatilia kesi ya Tundu Lissu.

  10. Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu

    Lissu amefungua shauri la maombi Mahakama Kuu akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa kesi dhidi yake ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni uliotolewa...

Page 1 of 115

Next