Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

69 results for Aisha Charles :

  1. Mocco Genius anavyoifanya Bongo Fleva anavyotaka

    Wengi walianza kumtambua Idd Mohamed maarufu kwa jina la Mocco Genius kama mzalishaji muziki, lakini baadaye akaingia kwenye soko la uimbaji.

  2. Vijana wanavyoitazama sanaa kama sehemu ya kutokea

    Dar es Salaam. Moja ya biashara ambayo imekuwa na mafanikio makubwa kama utaweka jitihada na nguvu katika kujifunza ni sanaa. Kutokana na hilo, sekta hii imekuwa ikikimbiliwa na vijana wengi hapa...

  3. Kayumba: Wasanii wengi hawana nidhamu, niliambiwa sitafika popote

    Mwanamuziki huyo alipozungumza na Mwananchi amesema kwa sasa nchini Tanzania muziki umekuwa jambo linalopelekea wasanii kutotegemea shoo kuendesha maisha yao.

  4. Waandishi wa nyimbo wapewa mbinu

    Imekuwa kawaida kuona wasanii wakipewa maua yao pindi ngoma zao zikifanya vizuri, lakini sifa wanazopewa wasanii hao ni tofauti na wanazopata waandishi wa nyimbo.

  5. Kilichofanya Meja Kunta aingie studio na Chidi Benz

    Mwanamuziki wa Singeli, Meja Kunta, ameweka wazi mipango yake ya kufanya kazi na rapa mkongwe Rashidi Abdallah, maarufu kama Chidi Benz

  6. Salha afunguka, sababu muziki wa taarab kusuasua

    Mwanamuziki wa taarabu, Salha Abdallah, ametoa ufafanuzi juu ya changamoto zinazokumba muziki wa taarabu na jinsi ambavyo umepoteza umaarufu wake katika miaka ya hivi karibuni.

  7. Kanye West atangaza kustaafu muziki

    Mwanamuziki wa hip-hop kutoka Marekani, Kanye West ametangaza kustaafu muziki huku akidai kuwa hana uhakika wa kufanya kitu kingine kinachohusiana na muziki.

  8. Ustaa bongo ni mzigo wa maumivu

    Kama kuna kitu kigumu kwenye huu ulimwengu, basi ni kuishi katika dunia ya umaarufu, hasa unaokulazimu kuficha maumivu na uonyeshe nyakati za furaha pekee.

  9. Maarifa ajipanga kuitumia kumbukizi ya kifo cha mama yake na mashabiki

    Baada ya ukimya wa takribani mwaka mmoja kwenye muziki, rapa Rashid Rais maarufu Maarifa Big Thinker amefunguka kuja na zawadi kwa mashabiki wake.

  10. Tbt za mastaa ni hamasa kwa mashabiki

    Kila ifikapo siku ya Alhamisi watu hupamba mitandao ya kijamii kwa picha na video za matukio yaliyopita. Matukio hayo hugusa sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye michezo, familia na hata upande wa...

Previous

Page 2 of 7

Next