Search

37 results for Christina Thobias :

  1. Simba wavamia vijiji, waua ng’ombe wanne

    Hofu imetanga kwa wakazi wa Kijiji cha Magunga na Ihami Kata ya Mabogawilayani Iringa, baada ya kundi la simba kuvamia vijijini hivyo kwa nyakati tofauti na kuuwa ng'ombe wanne na kuwaacha...

  2. Machinga Iringa wapewa siku tano kuhamia maeneo mapya

    Manisapaa ya Iringa imetoa siku tano kwa wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga, kufanya kuhamia maeneo rasmi yaliyotengwa kwaajili ya biashara hizo huku wao wakisema jambo hilo ni...

  3. Hatimaye familia kumzika Alex, yasistiza dai lipo palepale

    Alfred Mwakalebela, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, amesema Alex Kihomwe, Mkazi wa Mtaa wa Msichoke, Kata ya Makorongoni alifikishwa hospitalini akiwa amezidiwa huku...

  4. Machinga walia kuvunjiwa vibanda vyao Iringa

    Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kwa jina la Machinga wamelalamika kubomolewa vibanda vyao vya biashara katika eneo la Magari Mabovu, Manispaa ya Iringa.

  5. Wananchi hawamtaki Diwani, mwenyewe ajibu mapigo

    Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Muwimbi kata ya Lumuli, wilayani Iringa wameamua wampinga Diwani wao Muwimbi Mlusi kwa utendaji usioridhisha huku wakidai kuwa katika kipindi chake cha uongozi...

  6. TCRA yawapiga msasa watangazaji

    Mkuu wa Kitengo cha Leseni wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amewapiga msasa watangazaji wa vituo vya redio na runinga kujifunza na kuzingatia kanuni na taratibu...

  7. Sintofahamu wanafunzi kuingilia mfumo UoI, kujilipia ada kinyemela

    Wanafunzi wanaokadiriwa kuwa 262 wanaosomea kozi ya teknolojia ya habari (Information Technology) katika Chuo Kikuu Iringa (UoI), wanatuhumiwa kughushi mfumo wa SAMIS na kujilipia ada huku chuo...

  8. UoI: Wanafunzi walioghushi kufukuzwa chuo ikiwa hawatalipa ‘fidia’

    Hivi karibuni Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Maimuna Pathan, akiwa Bungeni; alidai uongozi wa chuo hakuwa makini na hivyo kusababisha upotevu wa fedha, huku kikiwafukuzwa wanafunzi waliobanika...

  9. Chuo Kikuu cha Iringa watakiwa kujiandaa na somo jipya

    Wahadhiri na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Iringa wamekusanyika kupata elimu ya umuhimu wa somo la kuweka akiba ya fedha na jinsi ya matumizi sahihi.

  10. Mkesha wa Mwenge wawanufaisha wananchi Iringa

    Baadhi ya wafanyabiashara Manispaa ya Iringa wamenufaika na mkesha wa Mwenge uliofanyika Mtaa wa Kihesa, Shule ya Msingi Ngome na kuhudhuria na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na wananchi...

Previous

Page 2 of 4

Next