Search

230 results for Mariam Mbwana :

  1. Taasisi yazindua mpango mkakati kudhibiti ubora wa elimu

    Taasisi ya Regional Education Learning Initiative (Reli) imezindua mpango mkakati wake wa kwanza wa miaka mitatu uliolenga kuangazia masuala mbalimbali ambayo bado ni changamoto katika...

  2. PRIME Vyakula pendwa, hatari kwa afya

    Unapenda kula saladi/kachumbari, nyama choma, mayai ‘macho ya ng’ombe’, maziwa yasiyochemshwa na vinginevyo? Unapaswa kuchukua tahadhari unapokula vyakula hivi ili kuepukana na changamoto za kiafya.

  3. Zingatia haya unapovaa tai

    Kuna mambo huhitajika kuzingatiwa ili kuvutia kila wakati, ikiwamo mpangilio wa mavazi.

  4. Hivi hapa vigezo vilivyotumika kupata mabwana harusi 70 wa Shekh Kishk

    Wakati maharusi 70 waliolipiwa mahari kupitia taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma wakitarajia kufunga ndoa leo Jumapili Agosti 6, 2023 jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa taasisi hiyo Sheikh...

  5. Mwananchi yang’ara tuzo za Ejat, yazoa 12

    Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeshinda tuzo 12 usiku wa jana Jumamosi Julai 22, 2023 katika mashindano ya Tuzo za Umahiri za Uandishi wa Habari Tanzania (Ejat).

  6. Ummy: Imani za kishirikina kiini wajawazito kutoanza kliniki mapema

    Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema licha ya Serikali kupunguza vifo vya mama na mtoto, pamoja na mimba za utotoni, bado kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wajawazito kutowahi kliniki.

  7. Tamwa yataka taarifa za afya ya uzazi zenye kuleta mabadiliko

    Mkurugenzi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Rose Reuben amesema ombwe lililopo kati ya waandishi wa habari na watafiti, linasababisha tafiti nyingi ambazo zingeleta tija kwa...

  8. Dk Gwajima, Pembe kushiriki kongamano WD2023 Rwanda

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk Dorothy Gwajima pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto Zanzibar, Riziki Pembe, wanatarajiwa kushiriki...

  9. TCU yatangaza dirisha la udahili masomo elimu ya juu

    Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imekufungua dirisha la udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu kwa awamu ya kwanza wa mwaka wa masomo 2023/24 zikiwa zimepita siku mbili tangu Baraza la Mitihani...

  10. Wadau wapendekeza suluhisho wanafunzi, vijana kuacha kujinyonga

    Wakati kukiwa na taarifa za watoto na vijana kujiua nchini, imeshauriwa semina kuhusu elimu ya afya ya akili iwe inatolewa mara kwa mara mashuleni na hata kuwekwa kwenye mitalaa.

Previous

Page 2 of 23

Next