Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

696 results for Rehema Matowo :

  1. Bakwata yataka uchunguzi huru mauaji, utekaji

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limeungana na wadau wengine kusisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji ya raia.

  2. Mwanafunzi aliyeuawa vurugu za wananchi, polisi Mbogwe azikwa

    Vilio vimetawala mazishi ya Theresia John (18), mwanafunzi wa kidato cha nne aliyepoteza maisha kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwao, Kijiji cha Lulembela wilayani Mbogwe, wakati wa vurugu...

  3. Shughuli za kiuchumi zaanza kurejea Lulembela

    Shughuli za kiuchumi katika eneo la Lulembela, Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita zimeanza kurejea baada ya wafanyabiashara kufungua maduka yao.

  4. Wawili wapoteza maisha vurugu baina ya wananchi na Polisi

    Polisi walijaribu kuwatuliza kwa mabomu ya machozi na risasi hewani, lakini vurugu zilisababisha vifo.

  5. Aweso atoa agizo mfumo wa malipo jumuiya za watumia maji  

    Kwa sasa jumuiya za watumia maji zinapouza maji fedha zinaingia kwenye mfumo wa GPG

    New Content Item (3)
  6. Maonyesho ya dhahabu yapaisha idadi ya watalii Kisiwa cha Rubondo

    Idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo, mkoani Geita, imeongezeka kutoka 1,800 mwaka 2022 hadi kufikia 5,000 mwaka huu, ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 177.

  7. Wanawake wahimizwa kugombea uchaguzi wa serikali za mitaa

    Wakati nchi ikielekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024, wanawake wametaakiwa kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali na kutoogopa vitisho vya wanaume.

  8. Rais Samia mgeni rasmi Baraza la Maulid Geita

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Maulid linalotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani Geita, Septemba 16, 2024.

  9. Wanafunzi 115 wenye mahitaji maalumu waacha shule ndani ya miezi minane

    Wanafunzi 162 kati ya 3,255 wenye uhitaji maalumu kutoka shule 15 za msingi katika Halmashauri ya Geita, wameacha shule kwa kipindi cha miaka mitatu.

  10. NGO’s zatakiwa kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi

    Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kutumia nafasi zao kuhakikisha katika chaguzi zijazo nchi inapata viongozi wanaotokana na wananchi lakini pia wenye wenye maadili watakaosimamia na...

Previous

Page 12 of 70

Next