Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

71 results for Denis Sinkonde :

  1. Nane wajeruhiwa ajali ya moto wakiangalia mechi ya Yanga

    Walikuwa wakiangalia mpira katika dukani, lakini moto ulipozuka walitoka na kujaribu kuuzima, hata hivyo waliungua wakati wakijaribu kuuzima.

  2. Mwili wa mwanafunzi wa Rucu aliyeuawa wazikwa Ileje, baba ataka uchunguzi

    Ameiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi kuwabaini na kuwakamata wahusika wote ili sheria ifuate mkondo wake na kukomesha vitendo hivyo.

  3. Wanasheria 50 watua Songwe kutatua changamoto za walionyimwa haki

    Songwe. Jumla ya wataalamu wa kisheria 50 watua mkoani Songwe kwa lengo la kutoa huduma ya msaada wa kisheria itakayoanza kesho Desemba 12, 2024. Wataalamu hao ni wale walio kwenye kampeni ya...

  4. Songwe waonywa kumaliza kindugu kesi za ukatili

    Wazazi na walezi mkoani Songwe wameonywa kumalizana kindugu juu ya Kesi za ukatili wa kijinsia kwa watoto, ili wahusika wanaotekeleza vitendo hivyo wachukuliwe hatua za kali za kisheria.

  5. Watoto 11,043 kurejeshwa shuleni Songwe

    Serikali mkoani hapa kwa kushirikiana na wadau wa elimu, imezindua kampeni maalumu yenye lengo la kuandikisha na kuwarejesha shuleni watoto 11,043 waliokuwa nje ya mfumo wa elimu.

  6. Takukuru yabaini kasoro mifumo ya sekta ya afya

    Miongoni mwa kasoro katika mifumo ya sekta ya afya ni maabara za binadamu kutoa huduma bila kusajiliwa, wajawazito kutakiwa kubeba glavu na mipira ya kitandani

  7. Katibu wa CCM avamiwa, avunjwa miguu

    Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote miwili.

  8. Diwani Mbozi asimamishwa hadi Januari 2025 kwa utovu wa nidhamu

    Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mbozi Mkoani Songwe limemsimamisha kuhudhuria kikao kimoja cha baraza hilo Diwani wa Kata ya Isalalo, Baraka Haonga kwa tuhuma za utovu wa nidhamu na...

  9. Daktari kinara wa tohara kwa wanaume afariki ghafla

    Alishiriki katika kuendesha kampeni ya tohara ya matibabu ya kiume ya hiari (VMMC).

  10. Mwanafunzi kidato cha kwanza ajiua baada ya kuhojiwa na wazazi wake

    Mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Mpakani, Ufunuo Mwamlima (13), mkazi wa Tunduma mkoani Songwe, amejiua kwa kujichoma kisu tumboni baada ya wazazi wake kumhoji kuhusu...

Previous

Page 3 of 8

Next