Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

929 results for Hawa Mathias :

  1. Homera aagiza Chunya kukamilisha ujenzi wa sekondari

    Chunya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kutoa Sh20 milioni zikamilishe Ujenzi wa shule ya mpya ya Sekondari Masache iliyopo Kitongoji cha Itumbi...

  2. RC aagiza wajawazito kufungiwa runinga wodini Hospitali ya Chunya

    Uboreshwaji huo umefadhiriwa na Shirika la Umoja wa Mataifa Kuhudumia Watoto Duniani (Unicef), kwa gharama ya Sh946.3 milioni.

  3. Uwekezaji sekta za madini, kilimo watajwa kupaisha uchumi Chunya

    Uwekezaji wa Serikali katika kuboresha mifumo ya masoko katika sekta ya madini ya dhahabu na kilimo cha tumbaku katika mkoa wa kimadini wa Chunya, umetajwa kuchangia kuufanya mkoa huo kuwa kinara...

  4. Sh1.8 bilioni zakabidhiwa vikundi 131, vijana watajwa kukwepa kulipa

    Halmashauri ya Wilaya la Chunya Mkoa wa Mbeya imekabidhi hundi ya Sh1.8 bilioni kwa ajili ya mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi 131, huku vikundi vinne vikigomea kupokea mkopo huo wa asilimia 10...

  5. Wananchi ‘wamhamishia’ Dk Tulia Jimbo la Uyole, kumchukulia fomu

    Wakati vuguvugu la kisiasa likiendelea kupamba moto nchini, wananchi wa Bonde la Uyole wamemuomba Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea jimbo jipya la...

  6. Mila potofu, umaskini vikwazo matibabu ya fistula

    Wakati kila ifikapo Mei 23 dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Fistula Duniani, umaskini na mila potofu bado kikwazo kwa waathirika kupata tiba ya maradhi hayo.

  7. Wanne matatani kukutwa na shehena ya bangi

    Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne, wakiwemo wanawake wawili, kwa tuhuma za kukutwa na shehena ya dawa za kulevya aina ya bangi.

  8. Wauzaji vileo makazi ya watu watimuliwa, wapewa siku 17 kuhama

    Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Kisunga, Kata ya Mabatini jijiji Mbeya umefanya operesheni maeneo yanayotajwa kuuzwa pombe haramu ya gongo na kutoa onyo kwa wauzaji wa vileo katika makazi ya watu...

  9. Watatu wahukumiwa miaka 30, jela kila mmoja kwa ubakaji

    Watu watatu wakazi wa wilaya za Chunya na Mbarali mkoani Mbeya wamehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kila mmoja baada ya kupatikana na makosa ya ubakaji.

  10. Wadakwa wakiwa na meno ya tembo, bangi

    Jeshi la Polisi linamshikilia Hassan Hassan (50), Mkazi wa Mkoa wa Tanga baada ya kumkamata akiwa na dawa za kulevya aina ya bangi yenye uzito wa kilogramu 25.

Previous

Page 3 of 93

Next