Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

193 results for Johnson James :

  1. Watatu wauawa Tabora kwa tuhuma za mauaji

    Watu watatu wameuawa na kisha kuchomwa moto na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za kumuua kisha kumkata sehemu za siri pamoja na titi, Sagali Masanja (62), tukio lililotokea Novemba 14, 2024...

  2. Ubunifu nishati mbadala suluhu utunzaji mazingira

    Mwaka 2018, Kampuni ya Kuja na Kushoka, inayomilikiwa na Kushoka iliibuka mshindi wa kwanza kitaifa kwenye mashindano ya ubunifu wa mkaa mbadala yaliyoratibiwa na Wizara ya Muungano na Mazingira.

  3. Mtoto mchanga afariki dunia ajali iliyoua 14 Tabora

    Siku moja baada ya gari dogo la abiria aina ya Hiace kuligonga kwa nyuma lori katika barabara ya Itobo – Bukene, majeruhi mmoja kati ya saba waliokuwa wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya...

  4. Yanga yaipa Tabora United Sh20 milioni

    Bosi huyo wa mkoa amesema timu ikiwasili fedha hizo atazikabidhi kwa wachezaji kama motisha kwao kwa ushindi walioupata.

  5. Ajali ya ‘kipanya’ yaua 14 Tabora, tisa wajeruhiwa

    Jeshi la Polisi linaendelea kumsaka dereva wa Toyota Hiace ambaye alikimbia baada ya kutokea ajali.

  6. Wadakwa wakidaiwa kuhujumu miundombinu ya Tanesco

    Polisi katika Kijiji cha Nindo, Wilaya ya Nzega, Mkoa wa Tabora, wakishirikiana na maofisa wa Tanesco na wananchi, limefanikiwa kumkamata mtu mmoja kwa tuhuma za wizi wa waya za Copper earthwire...

  7. Vigogo Simba, Yanga watimkia Singida Black Stars

    Vigogo waliowahi kushika nyadhifa mbalimbali kwenye timu za Simba na Yanga kwa nyakati tofauti wametangazwa na Singida Black Stars kushika nyadhifa mbalimbali kwenye klabu hiyo.

    Singida Pict
  8. VIDEO: RC Chacha apiga marufuku uuzaji majeneza nje ya hospitali

    Chacha amesema kuna baadhi ya wagonjwa wanaweza kukata tamaa na kuingiwa na hofu baada tu ya kuona jeneza mbele yake.

  9. Lori la chuo cha Mweka laua wanafunzi wawili

    Kamanda Abwao amesema lori hilo lilikuwa linawapeleka wanafunzi kwenye mafunzo kwa vitendo Inyonga mkoani Katavi.

  10. Sanamu ya Nyerere lililobomolewa Tabora laanza kujengwa upya

    Siku chache baada ya watu wasiofahamika kuvamia na kuvunja sanamu la Mwalimu Julius Nyerere katika Manispaa ya Tabora, mkuu wa mkoa huo, Paul Chacha amesema Serikali imeanza ujenzi la sanamu hilo...

Previous

Page 3 of 20

Next