Search

231 results for Mariam Mbwana :

  1. Hekta takribani 469,000 ya ardhi huharibiwa kila mwaka

    Hekta takribani 469,000 ya ardhi huharibiwa kila mwaka kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo shughuli za binaadamu zinazopelekea uharibifu wa mazingira na mabadiliko ya tabianchi.

  2. Nyongeza, kodi kilio cha wafanyakazi nchini

    Wakati ulimwengu unaelekea kuadhimisha Sikukuu ya Wafanyakazi “Mei Mosi”, Tanzania imetajwa kuwa na viwango vikubwa vya kodi ya mishahara ‘PAYE’. Licha ya kodi hiyo inayojulikana “Paye”...

  3. Abaya, vazi linalozidi kupata umaarufu

    Katika mwezi mtukufu wa Ramadhani mavazi marefu yenye stara na heshima ndiyo hupewa kipaumbele zaidi.

  4. Wazee 50 wapatiwa bima Chamazi

    Taasisi mbalimbali zinazojihusisha ma masuala ya kijamii nchini zimetakiwa kujikita katika kufanya mambo yenye manufaa kwa jamii zinazozihudumia.

  5. Rugambwa ateuliwa kuwa Askofu Mkuu mrithi wa Jimbo Kuu la Tabora

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amemteua Askofu Mkuu Protase Rugambwa kuwa Askofu Mkuu mrithi (coadjutor) wa Jimbo kuu la Tabora.

  6. Vijana 1,000 watuma maombi kulipiwa mahari

    Mariam Mbwana

  7. Imamu aliyerukiwa na paka mabegani akiswalisha apewa tuzo

    Imamu aliyeteka vichwa vya habari mitandaoni siku za hivi karibuni kupitia video fupi iliyosambaa ikimuonyesha akirukiwa na paka mabegani wakati akiwa anaswalisha swala ya Taraweeh ametunukiwa tuzo.

  8. Vijana 50 kulipiwa mahari kupitia Al- Hikma Foundation

    Taasisi ya dini ya Kiislamu ya Al- Hikma Foundation imetangaza kuwalipia mahari vijana 50 ambao wapo tayari kuoa.

  9. Aliyemwagiwa tindikali aomba msaada wa matibabu nchini India

    “Hujafa hujaumbika”. Ni kauli inayofaa kuelezea masaibu yanayomkuta Tariq Kipemba, kijana ambaye amepata majeraha makubwa usoni na sehemu nyingine za mwili baada ya kumwagiwa tindikali akiwa...

  10. Vifaa vva kielektroniki vinavyoingizwa nchini kukaguliwa

    Waagizaji wa vifaa vya mawasiliano ya kielektroniki kutoka nchi mbalimbali kuja nchini wameelezwa kuwa kuanzia Mei 23 ya mwaka huu vifaa hivyo vitatakiwa kukaguliwa katika nchi vinapoagizwa ili...

Previous

Page 4 of 24

Next