Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

93 results for Nkwazi Mhango, Canada :

  1. KONA YA FYATU MFYATUZI: Nahamia ughaibuni tozo tatizo

    Hivyo, nakuja na mbinu ya kujikomboa na kuondokana na kadhia hii iliyogeuka donda ndugu kama siyo donda rafiki.

  2. Hii hapa nafasi ya ndugu, jamaa katika ndoa

    Kila mtu ana ndugu na jamaa ambao hawezi kuwaepuka kwa kuwa hatuwachagui wala kuwachagua, tofauti na wenza wa ndoa ambao huchaguliwa kwa mapenzi na makubaliano. Kutokana na hali hii, ni muhimu...

  3. PRIME KONA YA FYATU MFYATUZI: Tujifunze ya uchaguzi mkuu kwa Botswana

    Hivi karibuni Botswana, inayosifika kwa ufanisi kiuchumi na ubora na ugwiji katika demokrasia na utawala bora, kwa mara ya kwanza tangu ipate uhuru mwaka 1966, imekibwaga chama kilicholeta uhuru...

  4. NDOA: Changieni maisha si harusi

    Japo ndoa ni ya wawili, inagusa jamii pana na ni muhimu, lakini maisha ya ndoa ni muhimu zaidi. Utaliona hili pale inapofana au kutofana. Leo tutaongelea utamaduni mbaya uliojaa ubinafsi.

  5. PRIME Bomoa mijengo yote ya Kalia Koo

    Baada ya chimbuachimbua na kutofuata sheria kufanyika ili kuongeza ukubwa majumba ambayo yamesajiliwa kwa shughuli nyingine kujiingiza kwenye biashara isiyolipiwa kodi ya kuhifadhi bidhaa...

  6. Kuwa makini mitandao isikuvunjie ndoa yako

    Tuanze na kisa kilichotokea nchini Marekani mwaka jana. Mwanandoa mmoja alimtoa roho mwenzie kisa mitandao ya kijamii na tamaa. Wanandoa hawa waliokuwa wamedumu miaka 10 walijikuta pakanga. Baba...

  7. PRIME Profesa chawa jua huyu ni profedheha

    Leo nafyatuka na wasomi, wawe wa kweli au kanjanja. Katika kudurusu maana ya usomi na namna unavyopatikana na kutumika, nimejikuta nikijiuliza maswali lukuki, mojawapo likiwa msomi ni nani, ame...

  8. PRIME FYATU MFYATUZI: Kwa nini tumeruhusu kupigwa kwenye mazao ghafi?

    Leo nafyatua masuala ya biashara, uchumi, ujasiriamali na utengezaji njuluku ndefu tena kirahisi kwa kufyatua mafyatu wasiofyatuka wakaishia kufyatuliwa. Usishangae. Nimesomea madude mengi sana.

  9. Usiolewe kwenda kufarakanisha ndugu

    Kuna wanawake wenye roho mbaya na wachoyo wanaokamia kuolewa huku wakipania kwenda eti ‘kuwakomesha’ ndugu wa mume! Mara nyingi, wanawake wa namna hii wanaokwenda kuolewa ili kufarakanisha...

  10. PRIME Pumzika salama Jenerali David Musuguri

    Mpendwa Jenerali David Bugozi Waryoba Musuguri Nzangho aka Chakaza (RIP).

Previous

Page 4 of 10

Next