Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for Bahati Mwatesa :

  1. Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa wafikia asilimia 63, Ulega atoa agizo

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema amesema mradi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa unapaswa kutazamwa kama mboni kwa kila mpenda maendeleo na ukikamilika utunzwe

  2. Wakulima ufuta Lindi waiangukia Serikali

    Lindi. Wakulima wa ufuta Mkoani Lindi wameiomba Serikali kuwapatia ruzuku ya pembejeo kwa ajili ya zao hilo. Wakulima hao wanataka ruzuku ya pembejeo kama inavyofanyika kwenye zao la korosho...

  3. UDSM kujenga matawi mawili mkoani Lindi

    Ili kupanua wigo na upatikanaji wa Elimu ya juu nchini hususani taaluma ya kilimo, Chuo Kikuu cha Dar es Saaam (Udsm) kimeamua kujenga matawi mkoani Lindi kwa ajili ya Kilimo.

  4. Mapadri waliokufa ajalini wazikwa, Askofu alia ubovu wa barabara

    Aliwataja waliofariki dunia kuwa ni Bruda Bakanja Mkenda (51), Padri Pius Boa (51) na Padri Cornelius Mdoe (55).

  5. Mapadri, bruda waliofariki ajalini kuzikwa Julai 17

    Mapadri hao ni Cornelius Modoe (55) wa jijini Dar es Salaam, Pius Boa (51) mkazi wa Tanga na Bakanja Mkenda (51) ambaye ni bruda mkazi wa Dar es Salam.

  6. Mapadri wawili, bruda wafariki ajalini Lindi

    Ni katika ajali iliyotolea asubuhi ya leo Ijumaa, eneo la Mtualonga barabara ya Masasi- Mnazi Mmoja katika Halmashauri ya Mtamaa, Mkoa wa Lindi na majeruhi wawiki. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi...

  7. Hofu mradi wa maji kukamilika Ruangwa, mkandarasi alia na malipo

    Hofu katikati ya matumaini ya kupata maji safi imetanda wilayani Ruangwa mkoani Lindi baada ya mkandarasi wa mradi unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa mazingira Vijijini (Ruwasa)...

  8. Wakulima wa ufuta Kilwa walalamikia mfumo wa TMX

    Imedaiwa kuwa, mfumo wa TMX hauwanufaishi wakulima kwa sababu unashusha bei kwa haraka

  9. Wananchi wa Lindi wang’atwa sikio mapambano ya udumavu

    Ofisa Lishe wa Mkoa wa Lindi, Juliana Chikoti rai kwa wananchi mkoani humo kutilia mkazo kilimo cha chakula badala ya mazao ya biashara pekee.

  10. Baba na mwana wanyongwa na watu wasiojulikana

    Jeshi la Polisi mkoani Lindi limewataja waliofariki kuwa ni Muhidini Mangunga (69) na mtoto wake, Ramadhani Muhidini (10) aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tatu Shule ya Msingi Kitomanga.

Previous

Page 5 of 15

Next