Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. DCEA yateketeza kilogramu 68 za mirungi Same

    Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Kanda ya Kaskazini, imeteketeza dawa za kulevya aina ya mirungi zenye uzito wa kilogramu 68.3, ambazo zilikuwa zikitumika kama...

  2. Miche 534,000 ya kahawa yagawiwa kwa wakulima Vunjo, kuinua uchumi

    Serikali imetoa miche ya kisasa 534,000 ya kahawa bure ya kahawa kwa wakulima Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kuendeleza zao hilo na kuimarisha uchumi wa...

  3. Wanafunzi wafichua siri umahiri kwenye Kiingereza

    Mwanzilishi wa programu na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Godlove Shem amemwambia Balozi Lentz matokeo ya programu hiyo yanaonekana wazi kitaaluma.

  4. PRIME Sakata mali za mfanyabiashara Arusha bado giza nene

    Soma zaidi hapa...

  5. Uchunguzi madai ya shule kuwa na kitabu kimoja wabaini siyo kweli

    Sakata la mama aliyejitokeza mbele ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, akidai kuwa Shule ya Msingi Kirachi iliyopo Kata ya Kisale Msaranga, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, ina kitabu kimoja...

  6. Mwenyekiti kitongoji auawa K’njaro, mtuhumiwa akimbia na kichwa chake

    Kamanda wa Polisi mkoani humo (RPC), Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo amesema limetokea leo Jumanne, Machi 24, 2026 huku akidai chanzo ni kutokana na tatizo la afya ya...

  7. Vunjo yajipanga kufufua zao la kahawa, miche 500,000 ya kisasa ikipandwa

    Wakati Jimbo la Vunjo, Mkoani Kilimanjaro likipanga kuotesha miche 500,000 ya kahawa ya kisasa katika msimu huu wa 2025/26, vijana wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuongeza nguvu ya...

    New Content Item (4)
  8. Ajali yaua wanne Rombo wakitokea matembezini

    Vijana hao wenye umri kati ya miaka 19-20 ni wakazi wa Kijiji cha Shimbi Masho, Kata ya Kwa Ndele, walikuwa wanatokea matembezini.

  9. Serikali yajifunga kitanzi maji ya uhakiki mradi wa Same–Mwanga–Korogwe

    Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanaozungukwa na mradi mkubwa wa maji wa Same–Mwanga–Korogwe wanapata huduma ya maji safi na salama kwa uhakika wakati wote.

  10. Polisi Kilimanjaro yamtia mbaroni mtuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara Hai

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Kimira, Kata ya Romu, Wilaya ya Hai, Juma Kimaro (36), kwa tuhuma za kumuua mfanyabiashara Sakina Paulo Tarimo (68).

Previous

Page 6 of 144

Next