Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1438 results for Janeth Joseph :

  1. Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

    "Nitoe rai kwa wana Moshi waliopo mahali popote, janga hili limetukuta, hawa ni ndugu zetu kama ilivyo desturi yetu sisi Watanzania chochote tulichonacho tutoe, wanahitaji vyakula, mavazi, vifaa...

  2. PRIME Simulizi za kusisimua za waathirika wa mafuriko Moshi

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amesema Serikali ya mkoa inaendelea kufanya tathmini ya madhara yaliyotokana na mafuriko hayo

  3. Vifo vilivyosababishwa na mafuriko Moshi vyafikia saba

    Watu watano wamefariki dunia wakiwemo Watoto watatu wa familia moja, huku kadhaa wakijeruhiwa, kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Moshi, Mkoani...

  4. DC Sumaye ahimiza kuenzi fikra za waasisi wa Muungano

    Asema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwa na manufaa ambayo yamepanua wigo wa masuala ya ajira, uchumi, biashara, pamoja na tunu katika Taifa.

  5. Mwili wa Gardner wawasili Rombo kwa maziko

    Gardner alifariki dunia Aprili 20, 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokuwa amelazwa akisumbuliwa na ugonjwa wa shinikizo la damu.

  6. Profesa Mkenda awaonya wanaCCM Rombo, awakumbusha ya Mramba

    Mbunge wa Rombo (CCM) ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amewaomba wananchi wa Rombo, mkoani Kilimanjaro kutofanya makosa kwenye uchaguzi wa Serikali za...

  7. Simulizi ya mtoto wa mitaani aliyefanikiwa kuhitimu chuo kikuu

    Baada ya kumaliza kidato cha nne na kupata daraja la pili, Agustino alipangiwa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari Uyumbu

  8. Nyumba zazingirwa maji Karatu, wananchi wakosa makazi

    Mvua hizo zilizonyesha tangu wiki iliyopita zinatajwa kuathiri maeneo mbalimbali wilayani humo, ikiwemo Kata ya Qurus na Karatu.

  9. PRIME Nyani wazua taharuki Moshi, wananchi watelekeza mashamba yao

    Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Zephania Sumaye ameziagiza mamlaka zinazohusika na wanyama hao kwenda kwenye maeneo hayo kuangalia namna ya kuwarejesha nyani hao kwenye maeneo yao ya asili.

  10. Zaidi ya kaya 40 zazingirwa na maji Siha

    Wananchi waliopo maeneo hayo wametakiwa kuondoka na kutafuta sehemu salama za hifadhi

Previous

Page 64 of 144

Next