Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1156 results for Jesse Mikofu :

  1. Kilimo mseto cha mwani, majongoo bahari kuongeza pato, ajira

    Ili kukabiliana na changamoto za umasikini na ukosefu wa ajira, kilimo mseto cha mwani na ufugaji wa majongoo bahari kimebainika kuwa mojawapo ya mbinu bora za kutatua tatizo hilo.

  2. Korea yaridhishwa utekelezaji wa miradi Zanzibar, kuongeza maeneo ya ushirikiano

    Korea Kusini imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi inayofanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kupitia ufadhili na mikopo ya masharti nafuu kutoka taifa hilo, na imeahidi...

  3. Sera mpya ya maji safi na usafi wa mazingira inavyovutia sekta binafsi kuwekeza Zanzibar

    Baada ya kuanzishwa kwa sera ya maji Zanzibar, wadau mbalimbali kutoka sekta binafsi wameonyesha nia ya kushirikiana na Serikali katika kuimarisha miundombinu na upatikanaji wa huduma hiyo mijini...

  4. Teknolojia ya IIT Madras kuibua fursa za ajira Zanzibar

    Kutokana na umuhimu wa teknolojia katika dunia ya sasa, Chuo Kikuu cha Teknolojia cha IIT Madras tawi la Zanzibar kimeanza kutoa mafunzo kwa vijana na watendaji wa taasisi mbalimbali ili...

  5. Mapato uwanja wa ndege Zanzibar yafikia Sh50 bilioni kwa miaka mitatu

    Ongezeko hilo linakwenda sambamba na ongezeko la abiria kutoka abiria 1.9 waliokuwapo mwaka 2023 hadi kufikia abiria 2.4

  6. Uhaba wa watalaamu, miundombinu hafifu kikwazo sekta ya afya

    Waziri Mazrui amesema hayo leo Jumanne Mei 27, 2025, wakati akisoma hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2025/26 huku akianisha vipaumbele vya wizara...

  7. Zanzibar kuandaa mwongozo matumizi nishati safi

    Katika kupambana na uharibifu wa mazingira na kulinda afya za wananchi, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inaandaa mwongozo maalumu wa matumizi ya gesi asilia hatua itakayosaidia...

  8. Mazingira magumu, makazi duni ya walimu yawaibua wawakilishi

    Miongoni mwa changamoto walizozitajwa ni pamoja na walimu wengi kutolipwa stahiki zao, licha ya kufanyiwa ugatuzi kati ya mwaka 2019 na 2021.

  9. Wawakilishi waikalia kooni Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu

    Katika bajeti ya mwaka 2025/26, programu ya elimu juu imetengewa Sh157.267 bilioni kwa ajili ya kutoa elimu itakayomwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.

  10. Muhali bado kikwazo vitendo vya udhalilishaji

    Wakati Serikali na wadau mbalimbali wakiendelea na juhudi za kupambana na vitendo vya udhalilishaji, bado muhali na hofu ya kuripoti matukio hayo yameendelea kuwa kikwazo kikubwa katika...

Previous

Page 8 of 116

Next