Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1156 results for Jesse Mikofu :

  1. Wadau walia danadana sheria ya habari Zanzibar

    Wadau wa habari Zanzibar wameendelea kuhoji sababu za kuchelewa kwa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Vyombo vya Habari, mchakato ambao umedumu kwa karibu miaka 20.

  2. Zena ashtuka, aonya viongozi wanaowapiga vita wasaidizi wao

    Zena ametoa kauli hiyo jana Mei 24, 2025 wakati wa tuzo za uandishi wa habari za kitakwimu katika jinsia zilizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tamwa ZNZ.

  3. Rais Mwinyi kuipa Simba Sh269 milioni ikitwaa ubingwa CAFCC

    Katika mechi hiyo ambayo Rais Mwinyi atakuwa mgeni rasmi, pia amelipia gharama za uwanja ambazo ni asilimia 15 ambazo zilitakiwa kulipwa na Simba.

  4. Mwakilishi ahoji ilipokwama sera ya Kiswahili, Serikali yaeleza mchakato wake

    Mwakilishi wa Mwanakwerekwe, Ameir Abdalla Ameir ameihoji Serikali kinachokwamisha kukamilisha sera ya Kiswahili wakati ikijua wazi kwamba sera ndio mlezi wa lugha.

  5. Wawekezaji wapigwa marufuku kuwazuia wananchi 'kula bata' fukwe karibu yao

    Hata hivyo, amemwomba mwakilishi huyo kumpatia maeneo ambayo wananchi wanazuiwa ili hatua zaidi ziweze kuchukuliwa.

  6. Chuo cha uchumi wa buluu mbioni kuanzishwa Zanzibar

    Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi inaendelea na taratibu za uanzishaji wa Chuo cha Uvuvi na Uhifadhi wa bahari ambapo pamoja na mambo mengine kitatoa kozi za kilimo cha bahari na menejimenti ya...

  7. Serikali yafichua utapeli wa mikopo unaolenga wanawake Zanzibar

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imebaini mbinu mpya za utapeli zinazotumiwa na baadhi ya taasisi binafsi dhidi ya wanawake, ambapo huwapa mikopo kisha kuwanyang’anya sehemu ya fedha hizo,...

  8. Wawakilishi wataka hatua za wazi mifugo kuvamia mashamba ya wakulima

    Licha ya Serikali kueleza mipango yake ya kuimarisha kilimo, ikiwemo kuotesha miche na kuwagawia wakulima, wawakilishi wameibua changamoto kubwa inayowakumba wakulima, ikihusisha mazao yao...

  9. Mtaala mpya wa elimu kufungua fursa mpya za ufundi kwa vijana

    Wakati mchakato wa kuandaa mtaala mpya wa umahiri ukiendelea, wataalamu wa elimu wamesema mtaala huo unatarajiwa kufungua fursa mpya kwa vijana kwa kuwa utawawezesha kujengwa kwa kizazi chenye...

  10. Wawakilishi walalama wananchi kutolipwa fidia wakipisha miradi

    Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesisitiza kuwa licha ya umuhimu wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa, ni lazima wananchi wanaoathiriwa na ujenzi wa miundombinu hiyo walipwe fidia zao kwa...

Previous

Page 9 of 116

Next