Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1440 results for Janeth Joseph :

  1. DC Same aagiza Takukuru kuchunguza mradi wa maji wa Sh1 bilioni

    Mkuu huyo wa wilaya ametoa maagizo hayo, wakati alipokwenda kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa wilayani humo, ikiwemo miradi ya maji, ujenzi wa madarasa ya Shule ya Msingi Mbono...

  2. Fundi nguo auawa baada ya kumsaidia mtuhumiwa chakula

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja mkazi wa kijiji cha Kwalakamu wilayani Rombo kwa madai ya kuhusika na mauaji ya fundi nguo, mkazi wa Kijiji cha Ngaseni, Anord...

  3. DC Same aagiza uongozi halmashauri kuhamisha gulio

    Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameuagiza uongozi wa halmashauri ya wilaya hiyo kuhamisha gulio ambalo limekuwa likifanyika kuanzia Jumatano hadi Jumapili kwenye eneo la...

  4. PRIME Hivi hapa viini, tiba migongano wateule wa Rais

    Migogoro na minyukano isiyokoma baina ya wakuu wa mikoa na wilaya dhidi ya makatibu tawala na wakurugenzi wa halmashauri kwenye maeneo yao imewaibua baadhi watendaji wastaafu kwenye nafasi hizo...

  5. Mabaki ya mwili yaliyokaa mochwari siku 190 yazikwa

    Mwanamke huyo ambaye aliyekuwa akiishi na mpenzi wake Mtaa wa Mtemboni wilayani hapa inadaiwa kuuawa kikatili na mpenzi wake usiku wa kuamkia Februari 19, mwaka huu kwa kile kinachodaiwa ni wivu...

  6. Utata kifo cha mwanafunzi Moshi

    Moshi yatikiswa na mauaji. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea matukio matatu, likiwamo moja la kifo cha mwanafunzi na mawili ya mauaji yakiwamo ya mwanamke kudaiwa kuuawa na mwenza wake na mwili...

  7. PRIME Serikali yachanja mbuga, uwekezaji bandari

    Serikali imesema inaandaa nyaraka kwa ajili ya utekelezaji wa makubaliano ya uwekezaji wa bandari kati yake na Dubai.

  8. Tamu, Chungu za makonda wa kike mabasi ya abiria

    Safari yangu inaanza saa 11 alfajiri ya Julai 18 mwaka huu, kutoka nyumbani Tabata kuelekea Shekilango jijini Dar es Salaam katika kituo kidogo cha mabasi yanayokwenda mikoani.

  9. Jenereta chanzo huduma kusimama KCMC, wagonjwa wahaha

    Baadhi ya huduma za matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC, zimesimama kwa muda usiojulikana na kuzua taharuki kwa wagonjwa ambao wamefika hospitalini hapo tangu asubuhi.

  10. Waamini Katoliki wataka mjadala wa wazi mkataba wa bandari

    Waumini wa Kanisa Katoliki nchini wameunga mkono tamko la Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), huku wakisema kuna haja ya kuwapo kwa mjadala wa wazi utakaojadili Mkataba wa makubaliano ya...

Previous

Page 81 of 144

Next