Kanuni za upinzani fyatu usiofyata bali kufyatua Baada ya kugundua kuwa upinzani kayani haufanikiwi kufyatuka na kulifyatua hadi kulinyaka dola, nimekuja na njia ya kuupiga tafu lau uondoke kwenye ufyatu wa kukamia na kuyafyatua maulaji ya dezo...
FYATU MFYATUZI: Tunataabishwa, tuwataabishe wanaotutaabisha “Hakuna kitu kibaya sana humu kayani kama shida. Kila siku shida, shida mpaka siku ya mwisho.”
Tumefyatuliwa, tumefyatuka, sasa tunafyatuana kila siku Sijui nianzeje kufyatua kabla ya kufyatuliwa. Sijui niseme tumechanganywa, tumechanganyikana ama tukachanganyikiwa na sasa tunachanganyana kiasi cha kuzugana na kuzinguana. Tumefyatuliwa...