Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1067 results for Peter Elias :

  1. Mabalozi wasisitiza ushirikishwaji wananchi wa Tanzania

    Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania wamesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato wa kidemokrasia ili kuimarisha umoja na amani katika taifa hilo.

  2. Shambulizi la Septemba 11 lilivyobadilisha mtazamo wa dunia kisera

    Leo Septemba 11, inatimia miaka 23 tangu lilipotekelezwa shambulizi kubwa la kigaidi duniani, Septemba 11, 2001, jijini New York, Marekani, tukio ambalo lilibadilisha sera za Marekani na uhusiano...

  3. Uchaguzi serikali za mitaa: Zingatia sifa hizi kumpata kiongozi bora

    Kuhusu wagombea wa nafasi hizo kwenye mitaa, wamesema wapo wa aina mbili, wanaoingia na wanaotaka kuendelea, ambao wanatakiwa wapimwe tofauti.

  4. Lwakatare: Profesa Lipumba akigombea naondoa jina langu

    Kada mkongwe wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilfred Lwakatare, mmoja wa waliochukua fomu kuwania uenyekiti wa chama hicho, amesema endapo mwenyekiti wa sasa wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba...

  5. Uchaguzi wa viongozi CUF wasogezwa mbele, sababu zatajwa

    Kinyang’anyiro hicho kitahusisha nafasi za mwenyekiti, makamu mwenyekiti (Tanzania Bara na Zanzibar) na wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho lililopo kwa mujibu wa katiba yao.

  6. China kutoa Sh138 trilioni kwa Afrika, Rais Samia aitaja kuwa mshirika bora

    Wakati China ikitarajia kutoa msaada wa kifedha wa Sh138 trilioni (Yuan 360 bilioni) kwa mataifa ya Afrika kwa miaka mitatu, Rais Samia Suluhu Hassan amesema taifa hilo ni mshirika bora wa...

  7. Mambo matatu kutawala kikao cha Kamati Kuu CCM kesho

    Kikao hicho kinafanyika kufuatia matukio kadhaa yanayohitaji uamuzi wa haraka kwa ajili ya maendeleo ya chama.

  8. Rais Samia na mzigo wa amani ukanda wa Sadc

    Agosti 17, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan aliteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (Sadc - Organ Troika) kwenye mkutano wa...

  9. CCM yaendesha harambee kumchangia Lissu, Sh5.3 milioni zapatikana

    CCM yachangishana Sh5.3 milioni za Lissu, mwenyewe azikubali

  10. Utekaji wa bodaboda, ukatili vyaibuka ziara ya Dk Nchimbi Geita

    Malalamiko ya madereva wa bodaboda kutekwa na kuporwa pikipiki zao, mauaji ya watoto wakiwamo walemavu ndiyo vilivyotawala kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel...

Previous

Page 10 of 107

Next