Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

785 results for Baraka Loshilaa :

  1. Sh120 bilioni kusafirisha gesi asilia kutoka Ntorya hadi Madimba Mtwara

    Kauli hiyo ya TPDC imetolewa leo Julai 3, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Mussa Makame katika hafla fupi ya kuingia makubaliano ya ujenzi wa bomba hilo.

  2. Mwelekeo hali ya hewa kwa siku 10 zijazo nchini

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetaja kanda nane nchini zitakazopitia hali ya ukavu na vipindi vya mvua kwa kipindi cha siku 10 kuanzia leo Julai mosi, 2025.

  3. Bei ya petroli, dizeli yashuka Julai

    Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na ya taa katika Bandari ya Dar es Salaam imeshuka ikilinganishwa na Juni 2025.

  4. Chaumma yapuliza kipyenga ubunge na udiwani, urais ngoma nzito

    Chama hicho kinaungana na vyama vingine vikiwemo Chama Cha Mapinduzi (CCM) na ACT-Wazalendo, ambavyo tayari vimeshatangaza ratiba ya uchukuaji na urejeshaji fomu za ubunge, udiwani na uwakilishi.

  5. Takwimu ya watalii wanaofika nchini yapaa

    Ongezeko hilo ni kutoka watalii 922,692 mwaka 2021 hadi kufikia watalii milioni 2.41 mwaka 2025 huku idadi ya watalii wa ndani nao wakiongezeka kwa asilimia 307.9 kutoka watalii watalii 788,933...

  6. PRIME Wataalamu watoa onyo mashindano ya kugida pombe

    Mashindano ya kugida pombe na hasa vinywaji vikali, yanaonekana kuongezeka kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii yakiwahusisha vijana.

  7. Uchumi wa Tanzania kukua kwa asilimia sita

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema uchumi wa Tanzania umeongezeka kutoka ukuaji wa asilimia 3.9 mwaka 2021 hadi 5.5 mwaka 2024, huku mwaka huu ukuaji ukitarajiwa kufikia asilimia sita.

  8. Takwimu ya watalii wanaofika nchini yapaa

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema idadi ya watalii wa kimataifa wanaofika nchini imeongezeka kwa asilimia 132.1.

  9. Rais Samia ataja kiwango cha fedha zilizonaswa utoaji rushwa

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema rushwa ni adui wa haki na kikwazo kikubwa cha maendeleo, hata hivyo Serikali imeimarisha mapambano dhidi ya rushwa na kufanikisha kuokolewa Sh211.9 bilioni.

  10. PRIME Siku 15 za moto ziara ya Wasira mikoa ya Ruvuma, Geita, Mwanza

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira anaendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama ambao amezungumza na viongozi na wanachama katika mikoa mitatu ya...

Page 1 of 79

Next