Search

346 results for Baraka Loshilaa :

  1. Wanawake wahimizwa kujitosa katika uvuvi

    Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Riziki Shemdoe amewataka wanawake kuingia moja kwa moja kwenye sekta ya uvuvi badala ya kuwategemea wavuvi kupata samaki.

  2. VIDEO: Dada asimulia ndugu watano walivyofariki matope Hanang

    Mbali na vifo hivyo, tayari watu 93 wameripotiwa kujeruhiwa na tayari Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole na kuelekeza mamlaka zinazohusika kukabiliana na maafa katika katika eneo...

  3. Maafa Hanang yafupisha mkutano wa Rais Samia Dubai

    Rais Samia Suluhu Hassan amefupisha ratiba ya kuendelea kukaa Dubai kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi (COP28) kufuatia tukio la maporomoko ya matope wilayani...

  4. Tanapa, Tasac zang’ara tuzo za mahesabu

    Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), imetoa tuzo kwa mashirika mawili kwa kile lilichosemwa ni uandaaji mzuri na bora wa mahesabu.

  5. Majaribio uzalishaji umeme Bwawa la Nyerere yaanza rasmi

    Taarifa hiyo kwa umma imetolewa Desemba Mosi, 2023; Tanesco imefafanua kuwa kazi hiyo inahusisha kuunganisha kituo cha umeme cha Chalinze kitakachopokea umeme kutoka JNHPP na gridi ya taifa.

  6. Matukio ya kijinai yaongoza uchunguzi DNA

    Mamlaka ya Maabara ya Mkemia wa Serikali (GCLA) imebaini kuwa uchunguzi mwingi wa wa sampuli za vinasaba (DNA) katika maabara hiyo, ni ule unaotokana na kesi za kijinai, tofauti na ilivyozoeleka.

  7. Mahakama yapiga ‘stop’ uwekezaji bandari za Mombasa, Lamu

    Mahakama Kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda mpango wa Serikali wa kubinafsisha Bandari za Mombasa na Lamu, baada ya kuwasilishwa kwa ombi la wakazi wa eneo hilo wanaodai uamuzi huo ni mbinu za...

  8. VIDEO: CCM yatia neno tuhuma dhidi ya Gekul

    Kufuatia tuhuma za udhalilishaji dhidi ya Mbunge wa Babati mjini, Pauline Gekul, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitakachobainika chama kitachukua mkondo wake kwa kuwa kanuni na taratibu.

  9. Gekul ajibu madai ya kudhalilisha kijana

    Ally anadai Gekul aliamuru aingiziwe chupa sehemu ya haja kubwa au ampige risasi kwa madai alitumwa kimkakati kwenda Hoteli ya Paleii Like View Garden inayodaiwa kumilikiwa na Gekul.

  10. Chanzo na njia ya kuondoa harufu mbaya mwilini

    Tatizo la harufu mbaya mwilini inayohusisha jasho, ni changamoto inayowakabili wengi na huwa kero kwa wale wanaomzunguka mtu mwenye tatizo hilo.

Page 1 of 35

Next