Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

245 results for Happiness Tesha :

  1. Watu 16 hufariki kwa malaria kila wiki kambi ya Nyarugusu

    Wastani wa watu 16 wakiwemo watoto wenye umri chini ya miaka mitano na wajawazito hufariki kila wiki moja kutokana na ugonjwa wa malaria ndani ya kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilayani...

  2. OUT yaiangukia Serikali deni la malipo ya watumishi

    Chuo Kikuu Huria cha Tanzania kimeiomba Serikali kuharakisha ulipaji wa deni la Sh5.3 bilioni kwa wafanyakazi wa chuo hicho kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia Julai 2020 hadi Juni, 2022 ikiwa...

  3. Mjasiriamali alivyogeukia biashara ya mkaa mbadala

    Mjasiriamali huyo mwenye kiwanda kidogo cha kuzalisha mkaa mbadala, vumbi la maranda ya mbao na mabaki ya nyasi kavu, vinavyotumika kama malighafi ya kutengeneza mkaa huo.

  4. Mmoja auawa na mwili wake kutelekezwa kichakani Kigoma

    Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Maneno Bufa, mkazi wa Gezaulole ameuawa na watu wasiojulikana, kisha mwili wake ukiwa na majeraha na kutelekezwa eneo la relini, jirani na chanzo cha maji cha...

  5. Meli ya Mv Sangara kuanza safari Oktoba baada ya ukarabati mkubwa

    Meli ya mafuta ya Mt Sangara iliyokuwa ikifanya safari kutoka mkoani Kigoma kwenda Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), inatarajia kuanza safari zake rasmi Oktoba, 2024 baada ya...

  6. Serikali yaanza uchunguzi chanzo ajali ya treni iliyojeruhi abiria 70

    Serikali imesema imeanza uchunguzi wa kubaini chanzo cha ajali ya treni iliyosababisha watu 70 kujeruhiwa.

  7. Majeruhi ajali ya treni wasimulia ilivyotokea

    Majeruhi wanne kati ya watano wa ajali ya treni iliyotokea mapema leo, wamepewa rufaa ya kwenda Hospitali ya Mkoa wa Maweni kwa matibabu zaidi.

  8. Hati za kimila mwarobaini migogoro ya ardhi Kigoma

    Hati miliki za kimila 500 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Kigalye na Mwamgongo, vilivyopo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, hatua iliyotajwa itapunguza migogoro ya ardhi hasa ya ngazi za...

  9. Kicheko Ziwa Tanganyika likifunguliwa upya

    Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Edwin Mhede amesema ni muhimu kulinda rasilimali za uvuvi kwa kuwa asilimia 10 ya Watanzania wapo kwenye sekta hiyo.

  10. Angalizo la uvuvi haramu latolewa Ziwa Tanganyika likifunguliwa kesho

    Kigoma. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya Ziwa Tanganyika kufunguliwa baada ya kufungwa kwa miezi mitatu tangu Mei 15, 2024, baadhi ya wavuvi mkoani Kigoma wameiomba Serikali kuendeleza hatua za...

Page 1 of 25

Next