Search

191 results for Mariam Mbwana :

  1. Mke wa Dk Mwaka adai hajapewa talaka, itamfuata alipo

    Akizungumza leo Machi 20, 2023 jijini Dar es Salaam Queen amesema kuwa hadi sasa bado hajapewa huku akieleza kuwa mchakato wake unaendelea.

  2. Kamati ya Bunge yapigania madeni taasisi za serikali, Waziri Nape ajibu

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha taasisi zilizochini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari zinalipwa madeni yao ya muda mrefu ziweze...

  3. Bilioni 6 zatengwa ukarabati wa barabara Temeke

    Kiasi cha fedha zaidi ya shilingi bilioni sita kimetengwa kwa ajili ya kutatua changamoto za barabara ndani ya manispaa ya Temeke katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/24.

  4. UDSM kuanza kutumia mtalaa mpya 2024/25

    Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinatarajia kuanza kutumia mtalaa ulioboroshwa ifikapo mwaka wa masomo 2024-2025.

  5. ‘Wanawake wengine wanachukulia rushwa ya ngono kama bahati’

    Jamii imetakiwa kuungana kwa pamoja kukemea vitendo vya rushwa ya ngono kwani vimekuwa vikidumaza haki na kuwanyima fursa wanawake.

  6. Huduma ya kuwekewa puto sasa kupatikana Arusha, Mwanza

    Mashobe amesema huduma hiyo kwa Mkoa wa Mwanza itakuwa ikitolewa katika Hospitali ya CF na jijini Arusha itatolewa katika Hospitali ya Seliani.

  7. Wanawake wanaofanyiwa ukatili, udhalilishaji mitandaoni wapewa mbinu

    Katika kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa) kimewataka wanawake wanaopitia changamoto ya ukatili na udhalilishaji mitandaoni kutoa...

  8. HEET kuleta mapinduzi ya teknolojia UDSM

    Utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) unatarajiwa kuleta mageuzi ya teknolojia katika chuo hicho.

  9. Wanawake wahimizwa kusoma sayansi

    Katika kuongeza idadi ya wahandisi wanawake nchini, wanafunzi wa kike nchini wamehimizwa kusoma masomo ya sayansi yatakayowawezesha kuwa wataalamu kwenye taaluma hizo.

  10. Faida za kujifungulia kwenye maji

    Unaweza kusema ni teknolojia mpya, lakini inaelezwa mjamzito kujifungua mtoto wake ndani ya maji ni sayansi iliyofanywa na mabibi wa zamani na ikileta matokeo chanya kwa mama anayejifungua.

Page 1 of 20

Next