Kamati ya Bunge yapigania madeni taasisi za serikali, Waziri Nape ajibu
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha taasisi zilizochini ya Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari zinalipwa madeni yao ya muda mrefu ziweze...