Wakulima, wafugaji Kiteto watakiwa kuondoa tofauti zao ingesaidia kufanya na shughuli zingine pia za maendeleo. Wakili Ibrahimu Mohamed Masawe akiongea na wananchi hao alisema migogoro mingi Kiteto inasababishwa na kutokuwa na uelewa wa kutosha...
Mzazi amkamata kijana akimtuhumu kumrubuni binti yake Tukio hili limetokea Januari 24, 2023 baada Alais Salasaita kumkamata Heri na kumfikisha katika shule hiyo, ambako walikuta jopo la wanasheria, waendesha mashataka, mkuu wa Dawati la Jinsia la...
Manyara yakithiri vitendo vya ukatili Hakimu wa Mahakama ya Wilaya ya Kiteto, Mosi Sassy amesema vitendo vya jinai kama vile ubakaji, ulawiti, kutoa mimba kwa wanafunzi na mauaji havina suluhu ni kosa kisheria hivyo vikiendelea...
Simanjiro watakiwa kumaliza migogoro si kukimbilia mahakamani Jamii wilayani Kiteto Mkoa wa Manyara ineshauriwa kutatua migogoro mbalimbali kabla ya kesi kufika mahakamani.
Mwenyekiti wa Kijiji kortin akidaiwa kuteketeza matrekta Mwenyekiti wa Kijiji cha Engong'ongare mkoani Manyara, Baraka Koisenge (53) na wenzake 10 wamefikishwa katika mahakama ya wilaya kwa makosa mawili ya kuteketeza matrekta kwa kuweka chumvi injini...
Tume ya hakijinai yazua mjadala Rais Samia Suluhu Hassan mara kadhaa ameahidi kutafuta suluhisho la malalamiko kutoka katika taasisi za haki jinai ili haki ipatikane kwa wakati
Rais ateua wajumbe Tume kuboresha haki jinai Rais Samia Suluhu Hassan ameteua wajumbe wa Tume ya Kuangalia Jinsi ya Kuboresha taasisi za Haki Jinai nchini inayoongozwa na Mwenyekiti Jaji Mohamed Othman Chande na Makamu Mwenyekiti...
Simba yapanda kileleni...Phiri amkamata Mayele Simba imependa kileleni mwa msimamo wa ligi ikifikisha pointi 34 baada ya michezo 15, miwili zaidi ya Yanga yenye 32.
Vyama tisa vya siasa vyaingilia kati kauli ya ACT-Wazalendo Vvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar.
Ndugu wahoji alipo mtoto wa wazazi waliofariki dunia Miili ya watumishi saba wa Halmashauri ya Kiteto waliopoteza maisha kwa ajali ya gari imeagwa jana, huku utata ukitawala alipo mtoto (miezi minane) wa wazazi waliofariki dunia.